Nimechoka kuachwa, kisa najituma sana

Nimechoka kuachwa, kisa najituma sana

Imefikia muda ata kutongoza tena naogopa kwani nahofia ata nikimpata atanikimbia kwani imekua ni kawaida yao kunikimbia sababu kubwa hasa ikiwa ni kuwa naomba game kila siku napisha siku za mwezi tu sasa jamani.

Nauliza kama mtu una mpenzi wako unaishi naye na nguvu zipo za kutosha huna mchepuko unakula vizuri kwa nini usimpe haki yake effectively ukitoa kidogo wanalalamika ukitoa full dozi kutwa mara tatu kelele.

Tufanyeje sasa

Hujakutana na anayejituma, kamwe usingekuja kujishitaki huku.
 
imefikia muda ata kutongoza tena naogopa kwani nahofia ata nikimpata atanikimbia kwani imekua ni kawaida yao kunikimbia sababu kubwa hasa ikiwa ni kuwa naomba game kila siku napisha siku za mwezi tu sasa jamani.

Nauliza kama mtu una mpenzi wako unaishi naye na nguvu zipo za kutosha huna mchepuko unakula vizuri kwa nini usimpe haki yake effectively ukitoa kidogo wanalalamika ukitoa full dozi kutwa mara tatu kelele.

Tufanyeje sasa
ni promo au? Kama umegundua ttizo si ujirekebishe yaishe
 
Ushauri wa kitaabibu

Kula sana samaki kwani inaongeza sana ukuaji wa ubongo maana wengine mnasikitisha kama hii maadaa ya mtoto wa miaka 16 imeandikwa na jibaba lenye familia yake
low iq ni ugonjwa tanzania,kuna maswali watoto kule marekan wanauliza pale yahoo na wako makini kuliko wengi weru humu
 
Nakushauri,
1. Fanya mazoezi mara kwa mara

2. Punguza kula baadhi ya vyakula

NB:
Tendo la ndoa ni birudani ila ukizidisha inakuwa karaha.
 
Izo nguvu ungeziamishiaga kwenye kilimo ingekua poa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom