Hii clinic inafanyika ikiwa na malengo ya kutatua changamoto za kimshahara za walimu yaani waliopunjwa daraja, malimbikizo mbalimbali ya mshahara n.k
Swali langu ni kuwa siku hiohio wakishabaini kuwa huyu mwalimu anapaswa kulipwa anapewa chake au ndo yaleyale ya ombi lako linashughulikiwa...
Wakuu nipo mkoa Fulani huku Kanda ya ziwa, nimelima mazao hekari 10. Nne za mahindi na 6 za mpunga
Kati ya hekari 4 za mahindi hekari 2 na nusu ziko vizuri na mbolea niliwekea so sasa hivi nasubiria kuvuna hii February
Kati ya hekari 6 za mpunga heka 4 na 1/2 nimeotesha vizuri na ekari 1 na...
Namna lilivyochanwa ni mtu mzima maana pikipiki yangu ni ndefu na imechanwa juu sehemu ya kukalia sidhani kama mtoto anaweza fikia pale juu na mtu inaonesha wazi alidhamiria maana karudia mara nyinginyingi
Sijajua ni nani lakini hili jambo limeniumiza sana yaani mtu kaja na kiwembe sehemu niliyokuwa nimepaki pikipiki yangu kachana cover la pikipiki yangu.
Sijui nimwachie mungu au nifanye ubayaubaya yaani hapa sielewi kinachoniuma sio kuharibu cover langu ila nachowaza huyu mtu ana lengo gani?
Sijajua uelewa wako wa mambo ukoje , ila now days njia rahisi ya kusafirisha pesa nyingi kwenda kokote kule duniani ni njia ya cryptocurrency na sio Fiat currency
Cha kufanya nunua hard ledger wallet Ipo kama flash hivi mfano wake nimeambatanisha hapo then buy usdt zako tumbukiza humo and una...
Unajua Ina umbali wa km ngapi?
Usichukulie zile meta 5895 kama ndo umbali wake hizo meta ni za mwinuko kutoka usawa wa bahari na umbali kutoka chini ya mlima na kilele Cha mlima ni habari nyingine, unaweza Kuta Kuna km 60 Sasa km60 utumie masaa 2?
Kuna baadhi ya mambo (Imani) mpaka Sasa nayashangaa kwamba inawezekanaje naomba wataalamu wa SAYANSI mnisaidie.
Kwenye matukio haya mawili/ matatu niliyoyashuhudia na mm kuyaamini kwa maana results niziona
1. Wife alienda kujifungua bahati nzuri kajifungua salama lakini mara tu baada ya mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.