so zote ni force kwanza jeshi la wanaichi alijafika leval yakuitwa army but bado ni forces ndio maana linaitwa Tanzania people defence forces na polisi wanaitwa polisi forces ndio maan inaandikwa pt saw elewen nyie madogo
jaman hayo ni mazoez ya viungo tu jaman kuweka mwili sawia .sio kwamba ayo ni mazoezi ya Medan za kuvita kuna zoezi la kuweka mwili powa na kunazoez la kukabiliana na hualifu .so ilo ni zoezi tu kama mazoez yako ya kila Siku but hutaona polis wakifanya mazoez ya Medan wakiwa mtaan
afu nyie mtukanen uyo sio watendaji wake ao wanapokea tu order saw sio watoa amri so ww kabra yeye ajakuomba msamaha kwanza waombe msamaha watendaji wake uliowatukana nakusubilia uombe msamaha ndio tuendelee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.