Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Sio bongo tu...hataIla bongo bwana yaan wakali wa mistar ndo hawavumi.ila wabovu sasa
Kenya...watu kama kina khaligraph..oxido.. unawasikia kwa mbali.
Ukienda south...Rick ricky..L- tido.. casper.hawaskiki kama jamaa aka
Njoo state..brother ali..nas..Jay Z mwenyewe hasikiki kama drake na kina tyga...
Haya Cameron anasikika Stanley...
Ila mziki sio Ukali wa mistari tu brother kuna technik kibao za kuteka soko