Recent content by Anselm

  1. Anselm

    Rafiki yangu kambambikia mumewe watoto

    Kuna Waja wanaweza kusababisha adhabu ya Ahera kuwa maradufu haki
  2. Anselm

    Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

    Bro huu uzi wako unatisha sana, eti mmiliki wa bastola kama haitaua mtu itakuua mwenyewe, imekuwa Jini lazima linywe damu ya mtu?
  3. Anselm

    Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya

    Wa 3 naweza kukubaliana na ww kwa mwonekano wake wa leo,wkt wakitutangazia watakaa kuziangalia upya tozo [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Anselm

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    We keep moving....
  5. Anselm

    Yanga inahitaji mabadiliko ya haraka kwenye benchi lake la ufundi

    Inajulikana kuwa Noel Mwandila amekuwa ni msaidizi wa George Lwandamina kwa muda mrefu,na iliwahi kusemwa Chicken hupenda kufanya naye jazi...Lwandamina ameshaondoka na inasemekana amerudi kwenye team yake ya zamani(Zesco),hiki Kijamaa kinasubiri nini sasa?,peleka yeye kwa Boss wake,shusha...
  6. Anselm

    FT: Yanga(Kikosi cha Kwanza) 0 Vs Rhino 0

    Mbona kocha mkuu wa Yanga cyo Mtanzania Mkuu?
  7. Anselm

    Ajibu Vs Nyoso

    Sasa kama ni issue ya U'babu mbona huyo mnayemuita Baba Mwenye nyumba hana mpinzani katika ukanda wote huu wa Africa Mashariki?
  8. Anselm

    Ajibu Vs Nyoso

    Kabla mechi ya Yanga na Kagera haijapigwa kule Kaitaba Jumamosi iliyopita,mmoja wa mabeki anayesifika kwa kukaba mpaka kivuli na ki'ukauzu kabisa Juma Saidi Nyoso alijinasibu kuwadhibiti washambuliaji wa Yanga haswa Ibrahimu Ajibu aka Fundi aka Miguu ya dhahabu,nafikiri Nyoso alijiaminisha kuwa...
  9. Anselm

    Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

    Kwani ukipata like 1 ni shilingi ngapi?@Abassfarudume Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  10. Anselm

    Lwandamila Must Be Axed

    I totally agree with you Rweye Nimeiangalia game ya jn mpk nikasikitika,team inacheza vibaya cjapata ona,wachezaji karibu wote wameshuka viwango na kuna dalili wakaendelea kushuka viwango kila cku
  11. Anselm

    Takukuru Kuweni Makini Na Ligi Hii

    Tukiacha ushabiki pembeni,mleta uzi ana hoja,nani amesahau jinc wachezaji wa Ruvu Shooting walivyokuwa wanatabasamu walivyokuwa wanashindiliwa yale magoli 7,yaani kama ungekuwa ni mgeni na hujui team gn imevaa jezi gn ungeweza sema Wachezaji wa Ruvu ndo walikuwa Simba na wa Simba ndo wa Ruvu...
  12. Anselm

    Mwadui FC na masalia ya Jamhuri Kihwelo.

    Ni kweli kwa kiwango fulani walizidiwa ujanja lkn kwa upande mwingine wameangushwa na yule Kijana wa Julio
  13. Anselm

    Mwadui FC na masalia ya Jamhuri Kihwelo.

    Hlf Afisa Mipango wao wa mwaka huu cyo mtu wa mchezoX2,yaani mpango mzima unaanzia kwa Walimu wapanga kikosi,haiwezekani mchezaji asha'prove out of form lkn bado anaendelea tu kuaminiwa.
Back
Top Bottom