Kabla mechi ya Yanga na Kagera haijapigwa kule Kaitaba Jumamosi iliyopita,mmoja wa mabeki anayesifika kwa kukaba mpaka kivuli na ki'ukauzu kabisa Juma Saidi Nyoso alijinasibu kuwadhibiti washambuliaji wa Yanga haswa Ibrahimu Ajibu aka Fundi aka Miguu ya dhahabu,nafikiri Nyoso alijiaminisha kuwa...