FT: Yanga(Kikosi cha Kwanza) 0 Vs Rhino 0

FT: Yanga(Kikosi cha Kwanza) 0 Vs Rhino 0

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,222
Reaction score
138,667
Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora

Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
 
Eti kocha Wa Yanga baada ya SARE anadai eti alichezesha kikosi cha pili watanzania Kwa utetezi
 
Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora

Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
Wewe ulitoa nao ngapi ngapi?
 
Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora

Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
Yaan wewe jamaha ni chizi achana na ushabiki wa kipumbavu hii ndo first eleven ya yanga
9e6a288f23a9e8f4acd1dc080d47d34d.jpg
 
Haters utawajua tu...bora sisi kuliko nyie na kikosi chenu cha 1.3 Billion mnahenyeshwa na Mtibwa/Azam
 
Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora

Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
mkuu upo?
 
Back
Top Bottom