Kwan shida ikwap kuuliza nyie ni wakristo?? kwasab dini ya islam hairuhusu mambo ya kupiga picha mazishi ila kwa wakristo wao hawana shida wanaruhusiwa kupiga picha
Achana na kivuruge uyo jitaid ukate mawasiliano moja kwa moja pia hilo litawezekana kama utarudisha moyo wako kwa Sir God..Wekeza moyo wako kwa mke wako na watoto wako huyo mwanamke ni malaya na itakutafuna kwa kosa ulilofanya sjui mke wako anachkuliaje ilo swala
Haya ni mambo ya imani na kuamin hakuna alie wai kuwaon hao manabii wala M/Mungu kwaiyo ss 2naamin 2. Alieuliz swal hana imani ata umjib vp atazd kuuliza na hatorodhika
Nakupa pole sana ndugu. Jotahid kuwekeza muda wako wa ziada kuingia gym either kama ni baada ya kazi jion pia jiepushe na marafiki mnaokunywa nao pombe lakin pia ikiwezekana pesa yako usiwe unaishika mwenyew omba m2 unaemuamin kama mama mzazi awe anakutunzia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.