Last Night
Member
- Jun 19, 2021
- 20
- 65
Kwa macho ya kawaida utaona mke na mme wana furaha nje wanavyotembea na utasema hii ndio ndoa ya kuigwa ila usilolijua sawa na usiku wa giza.
Wanandoa wengi wameachana ila wanaishi nyumba moja humo ndani wamegawana vyumba ila wanaogopa kutalikiana kwa sababu ya mali watagawanaje.
Wanawake wanavumilia kwa sababu wanaona wataweza vipi kuanza maisha mapya.
Wanaume wanaogopa talaka kwa sababu mali zitagawanywa .
Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi ni nzuri kwa nje ila ndani ni moto unaowaka .
Waliopo kwenye ndoa lazima wabishe ila ukweli ndio huo.
Wanandoa wengi wameachana ila wanaishi nyumba moja humo ndani wamegawana vyumba ila wanaogopa kutalikiana kwa sababu ya mali watagawanaje.
Wanawake wanavumilia kwa sababu wanaona wataweza vipi kuanza maisha mapya.
Wanaume wanaogopa talaka kwa sababu mali zitagawanywa .
Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi ni nzuri kwa nje ila ndani ni moto unaowaka .
Waliopo kwenye ndoa lazima wabishe ila ukweli ndio huo.