Wanawake wana huruma sana!

Wanawake wana huruma sana!

Smart AJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
5,564
Reaction score
5,917
-Huna hela
-Huna muonekano(sio handsome)
-Huna umaarufu wala koneksheni
-UNA kibamia
-Mfupi
-Una kitambi cha kufunua
-Unanuka mdomo

Na bado una demu!!??jamaa yangu huyo demu kakuonea huruma tuu hata akiamua kuondoka zake mshukuru tu kwa muda wake kwako.

Wanawake tunaomba muendelee kutuonea huruma,laa sivyo tutakufa kwa ukamena nyeto au tufungwe kwa kubaka.
 
-Huna hela
-Huna muonekano(sio handsome)
-Huna umaarufu wala koneksheni
-UNA kibamia
-Mfupi
-Una kitambi cha kufunua
-unanuka mdomo

Na bado una demu!!??jamaa yangu huyo demu kakuonea huruma tuu hata akiamua kuondoka zake mshukuru tu kwa muda wake kwako.

wanawake tunaomba muendelee kutuonea huruma,laa sivyo tutakufa kwa ukamena nyeto au tufungwe kwa kubaka.
Mbona hujawazungumzia wanawake wenye sifa tajwa kwenye hiyo list lakini still wapo na wanaume?

Au ndio nifungue siledi yangu😃😃
 
-Huna hela
-Huna muonekano(sio handsome)
-Huna umaarufu wala koneksheni
-UNA kibamia
-Mfupi
-Una kitambi cha kufunua
-unanuka mdomo

Na bado una demu!!??jamaa yangu huyo demu kakuonea huruma tuu hata akiamua kuondoka zake mshukuru tu kwa muda wake kwako.

wanawake tunaomba muendelee kutuonea huruma,laa sivyo tutakufa kwa ukamena nyeto au tufungwe kwa kubaka.

Mkuu wanawake wangekua wanaangalia sura au muonekano, basi wanaume wengi sana tungekufa tukiwa singo maana kwa ujumla sisi wanaume kwenye hilo eneo ni sifuri😄
 
Ahahahaaaa, hakuna mwanamke wa kumkubalia kimapenzi mwanaume aliyebeba specifications zote hizi kwa pamoja, labda 2 kati ya hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom