What business have you reading the bible? Hivi utaenda dunia ya kwanza, nchi kama marekani ukawaletea suala la kuchinja kibra? Inaelekea tunapoelekea ktk space exploration age waarabu wakienda mwezini watakua wanaelekeza kibra. kwanza tunapoenda tz suala la kuchinja litakua automated kwa...
Mie nadhani umejibiwa vizuri CDM cant be any more careful than it is, coz fitina za ccm sio siri - hawana nia ya dhati ya kudumisha demokrasia ni presha za magharibi tu zinatukeep afloat. kuna watu ktk ccm vingunge, hawaamini ccm will ever lose power wako tayari kufanya lolote liwezekanalo...
Njooni huko moshi machame /kibosho /Hai n.k huku tunajichinjia kitoweo daily asee hakuna hussle wala haita kuwepo kwanini ulazimishe kuwa fulani akichinja ndio sahihi. Hawa watu wanataka kutupelekesha kama mwembe chai shida hayupo nyerere wa kutoa msimamo ktk chama na kuwanyoosha hawa. wengi wao...
Hiyo taarifa we unadhani kwanini inacheleweshwa kama technology ya kurusha live ipo its just muzzling the press. wanataka kuedit bunge!! Hata mchakato majimboni ulwahudhi. Suala la kuedit na kukataza binge kurushwa wazi hiyo haipo popote duniani iko bongo tu tunazidi kuwa mabongo lala. some...
Kama zingetajwa kumi bora kungekua na shule ya serekali hata moja? Mie nimesona miaka ya tisini, ilikua fahari kwenda tabora boys, ilboru na tabora girls n.k naona sasa watoto wao hawasomi huko nao hawaoni shida.
Hata Bill Gates, Mark zuckerberg,Larry Ellison na wengine wengi hawana vyeti na wamefika mbali sana kuliko wengi tulio na vyeti. Elimu ni ile inayokusaidia kuifaidisha jamii inayokuzunguka na sio vinginevyo. college droppers wengi huwa wanafanya vizuri
In years to come our grandchildren will look back and wonder how we let a few scoudrels do what they do and it works before our very eyes- ila watoto wa nyerere, lisu, mnyika, mbowe slaa, na wengine hawatakua na cha kuhaibika. CCM has defied its founders creed and surely it will fall,
pango la...
Genesis 16:12 ni metaphor inayomfananisha Ishmael na punda mwitu imebebewa bango sana ila what is writen is writen hata ktk quran. Si ajabu waarabu wa kisasa wakashupalia hilo.
Lakini hata quran pia inatumia mifano ya punda na watu.
Surah 62:5
"The likeness of those who were charged with the...
Haaaah umerudi Sijali. Hebu nijuze tatizo ni nini? Mie najua Hamas hawataki kutambua jewish state kama alivyoitambuaYesser Arafat na Sadat. Historia ya ulaya magharibi, mashariki na hasa mashariki ya kati is complicated at best. I would appreciate an insight into this perculier never ending...
again I insist kuna ultra orthodox jews and moderate and secular jews ambao ndio wengi mfano hata mama yake obama ni mmoja ya hawa kama angekua anaona husein obama ni punda au angelelewa hivyo angezaa nae? hata wao kwa wao wana beef kwani hawa ultra orthodox hawakubali kwenda jeshini wao wako...
This is not a unique case. Nenda south africa kuna mitaa mtu mweusi haruhusiwi kupita labda awe billionaire. Hata hapa niliwahi tembelea Njiro ppf Arusha kuna mitaa ya wenye cash huwezi pita ina road blocks. Nenda Rwanda they dont intermarry with other blacks. Hata sie waafrica kwa waafrica tuna...
dunia imebadilika sana tokea hapo hata nyerere aliona kasi ya ulaya magharibi inatisha. Lakini mie nashangaa kwanini kila mtu anashabikia vikwazo dhidi ya Israel wakati hamas wanafanya double attrocity. wakipigwa wanatumia mwamvuli wa international support kujiandaa tena kujipanga zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.