Hiyo private itakayonipa job la miezi miwili ipo wapii aisee niwatafute!.......
Maana si rahisi kuipata,...wote wanahitaji mkataba wa zaid ya hapo nishajaribu shule nyingi sana na hakuna hata mmoja alokubali kwa muda mfupi namna hii!.....
Na kama hakuna atayekubali kuajir mwalimu kwa miezi...
Huo uhakika wa ajira serikalin umesema wewe!......
Tuulize sie tunaousubiria mwaka na½ sasaa na hakuna hata dalili........
Ni lazima walimu warudishiwe HESHIMA yao kama zamani kwa kutengenezewa mazingira mazuri ya kazi na marupurupu.....
Kazi gani isokuwa na posho bana!....
Now Askari...
Na bado kuna shule vijijini zina walimu wa5 tuuu wanafundisha vipindi 20 kwa wiki.........
Kweli life halipo FAIR.....
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
Kama ambavyo huwezi kufanyia kazi fani ambayo hujaisomea ndo vivohivo ilivyo ngumu kwa mwalimu wa sekondari kufundisha primary......
Kila kitu kina utaratibu wake so haitoweza kutokea labda viongozi wawe hawajui taratibu(protocol) za ualimu.....
Na kama ikihitajika ni lazima warudi shule...
Hata hizo mboga za majani unazosema zinahitaji mtaji na muda wa uhakikaa!...
Na mfano ukipanda mboga hizo na Ajira zikatoka kabla mazao hayajakomaa hiyo hasara atafidia nani!?....
Hatakama hawatatoa Leo!...
Wangametoa muda specifically tungefanya miradi mbalimbalij...
Maana kila Mara TAMISEMI...
Tunapozungumzia dhana shirikishi tunazungumzia mbinu za ufundishaji ambazo zitamshirikisha mwf katika kila hatua ya ujifunzaji na pia kunfikirisha mwf KIYAKINIFU...kuna vitu ambavyo mwalimu wanaweza andaa kwa kumshirikisha mwf ili kumuongezea ubunifu na kufikiri zaidi japokuwa kumuagiza...
Hawatutendei haki kwa kweli!.....
Ilaaa haiba ndo tunayoitetea tofauti na hapo na sie tungeanzisha chama cha walimu tarajali aisee maana hali ni mbaya!...
(Just jocking)
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mada juu ya uzazi katika mtaala huu wa sasa inaanzia darasa la NNE(japo kwa utangulizi na sehemu za uzazi za wanyama na mimea).....
Kwa kweli kimaadili haipo sawa lakini ina faida kubwa kwa wanafunzi maana dunia ya Leo ni majanga kabisa!....
Na kuhusu suala la.mwalimu kuwaagiza wanafunzi ndizi...
Tusubiri kidogo tusilalamike sanaaa maana MEI haijaisha bado!...
Kuanzia 27 hadi 31 tusubiri tuone maana waliahidi na RAIS wetu atani disappoint kama huu(kauli ya ajira mei) utakuwa uongo.....
Usithubutu kuwa-TUSI walimu wa kitanzania kwenye hilii sualaa!..
(Uzi unawazungumzia madaktari)sasa walimu wanahusikaje hapo!?.....
Mie nimefanya kazi na baadhi ya walimu kutoka Kenya na Uganda (hao unaowaita walimu bora)..
Lakini hakuna la zaidi nililoliona!.
Zaidi ya kujikweza na kizungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.