Sasa lip bora,kuachwa bila ajira au kuajiriwaprimary maana hapa sasa walimu wapo mashalani haswa wa sanaa kwa ngaxi ya stashahadaDuuuu!.....
Hivi umefikiria vizur kabla ya kuandika Mkuu!!?.........
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama ambavyo huwezi kufanyia kazi fani ambayo hujaisomea ndo vivohivo ilivyo ngumu kwa mwalimu wa sekondari kufundisha primary......Sasa lip bora,kuachwa bila ajira au kuajiriwaprimary maana hapa sasa walimu wapo mashalani haswa wa sanaa kwa ngaxi ya stashahada
Sir j printer man kwenye ubora wake..
Mimi nilitegemea hawa waje primary. Kiukweli shule za msingi vijijini hazina walimu katika shule nyingiSasa lip bora,kuachwa bila ajira au kuajiriwaprimary maana hapa sasa walimu wapo mashalani haswa wa sanaa kwa ngaxi ya stashahada
Bado siku nane, hebu tusubiriHaitapita tar28 mwez huu zitakuwa tayari i hope
Watakaosoma science & maths itakua mteremko tuu!!!Huko tunakoelekea ualimu siyo njia ya mteremko tena ya kuajiriwa kirahisi!!