Recent content by annabrenda

  1. A

    Joyce Kiria Ageukia CCM

    She didn't act smart here, kwa uanaharakati wake hapa kaharibu. May be anapata maslahi ya nguvu huko, otherwise anaharibu career yake.
  2. A

    Msaada wa haraka, mtoto kabwia chupa iliyosagwa

    Kwanza hiyo chupa walisaga vipi mpaka ikawa unga?
  3. A

    Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

    Watu hawaelewi tu mkuu, shetani anawapa watu ubize kutafuta vitabu vilivyopungua na vilivyoongezeka, ilhali hivyo pungufu hawajavimaliza. Yesu atarudi akute watu wanatafuta vitabu vilivyopunguzwa hahaaa! we baki unatafuta kitabu cha Enoko, unaachwa hivihivi.
  4. A

    Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

    Vitabu 73 mmevimaliza? Malizeni kwanza hivi ndio mtafute vingine. Ukisoma injili moja tu mfano Yohane inatosha kukufikisha Mbinguni. Hivyo mimi sioni shida viwepo au visiwepo.
  5. A

    TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

    R. I. P Mzee Philemon. Kazi uliyotumwa kuifanya umemaliza, Jina la Bwana Yesu litukuzwe kwa uwepo wako hapa duniani
  6. A

    Yaliyojiri jijini Arusha katika kuaga Miili ya Wanafunzi wa Lucky Vincent waliopata ajali ya gari

    Really really sad! . Mungu Baba wa Mbinguni awalaze our little Angels, walimu wao na dereva wao mahali pema peponi, Amina. Poleni sana wafiwa, Mungu Baba awape faraja yake na kuiganga mioyo yenu.
  7. A

    Hizi ajali tuziangalie kwa jicho la pili. Sio za kawaida kabisa; inafanana za wakati wa uchaguzi

    Naomba kuuliza, kwenye hiyo ajali ya watu 35 kwanini haionekani damu iliyomwagika hata kidogo?
  8. A

    Ibada za kuchoma pesa na kulisha mizimu

    Mkuu wewe ulichomoka vipi?
  9. A

    Ibada za kuchoma pesa na kulisha mizimu

    Vita yake si ya kitoto
  10. A

    Ibada za kuchoma pesa na kulisha mizimu

    Kati ya vitu babu zetu walitukosea huku duniani ni kuabudu mizimu. Ni tatizo kubwa hakuna mfano [/SIZE]
  11. A

    Ibada za kuchoma pesa na kulisha mizimu

    Ni lazima sana kuacha kuabudu mizimu. Hiyo ni miungu mingine, unaipa heshima ya Mungu wa Mbinguni
Back
Top Bottom