Ila napenda watu wa aina yako,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Walisaini mkataba wapiWengi wetu hatujui kwamba mizimu ipo na kazi yake kuu ni kusimamia maagano ya koo, unaweza kuambiwa umefungwa kimaisha sasa wewe ukajua moja kwa moja ni wachawi wamekuroga kumbe lah, simply ni kwamba umeenda against maagano ambayo mababu zako wali sign on behalf. Sasa unaweza hangaika kwa wanganga miaka nenda rudi lakini mambo yako yanazidi tu kukuharibikia zaidi.
Sio lazima kuacha kuiabudu ukiona inakusaidia.....Mizimu ipo na inafanya kazi, tatizo ni hawa wazungu wakaja kutuharibia mila zetu japo wao ndio wataalamu zaidi wa mizimu.
Ni vizuri tujue pia kwamba kuabudu mizimu si dhambi maana hata mienyewe inajua na kuamini uwepo wa Mwenyezi Mungu. Inaabudu pia
Huku duniani jitahidi kujifunza nakujua kila kitu....itakusaidiaMshana wewe noma. Yaani uko kwenye masomo hayo! Mmm, sipati jibu.Ili iweje na kwa nia gani.Unaniweka njia panda.Au unamtumikia Lucifer?
Sio lazima kuacha kuiabudu ukiona inakusaidia.....
Ingawa sisi mambo mizimu ilishatushinda sababu inakulazimisha usiishi maisha yako....inataka uishi maisha yao
...shida ya mizimu inakulazimisha uishi maisha waliyoishi wao....utakuta kwenye ukoo tangu babu mpaka kitukuu....kama wa kwanza alikuwa na tatizo flan basi hilo kila atakae zaliwa lazima akutane nalo sasa pambana kujitenga nayo utaona vita yake lkn ukikomaa yanakuacha kabisa. ..Huwa yanasumbua kukutoka sababu yanakuwa na uhalali nawewe ndio maana.....Ni lazima sana kuacha kuabudu mizimu. Hiyo ni miungu mingine, unaipa heshima ya Mungu wa Mbinguni
...ni shida Kaka Mshana JrThe problem of single phase education
[emoji3] [emoji3] PoaAah huko hapana niko Msata kaka nina retreat session
Mizimu huwa inafanya kazi haraka.. They are "blood oriented" kama kuna mchaga hapa ataelewa nikisema
"Iwe lya bokidi"
Li jiwe mahususi kabisaa lipo Nyumbani katikati na Mara nyingi kwa mwaka lazima mbuzi achinjwe hapo.. Mie naona ibada za mizimu ni kama utumwa Fulani hivi..
Utasikia MTU anasema mizimu yake inamsumbua.. Amejuaje ndo shida...
Mizimu ya kimasai INA namna ya kuombwa hadi kwa kutumia pembe ya ngombe na inaombwa kwa maziwa !!!!
Inatulizwa inaweza kataa au kubali