Mimi pia walinivuruga. Nilipoenda kununua miche nikawaambia walivyosomeka kwa wadau walicheka sana na kusema basi watu wasingelima maana hakuna faida kwa staili hiyo. Kumbe ile ni kwa muangusho
Umewahi hudumia minazi ya kisasa maana inasemekana inatakiwa sana na magonjwa. Nilihitaji kuipanda ila wataalam wanasema inahitaji usimamizi wa karibu sana ili ikue. Naomba unisaidie uelewa kidogo
Dah uminitia moyo sana nina ekar tatu nimepanda minazi nilikuwa naona ni padogo hazitaweza kunilea baadae. Ubarikiwe sana. kuliko wale wanaosema minazi hadi uwe na ekar kumi ndio utaenjoy kumbe naweza kutamba na minazi yangu 230
Nimefika hapa baada ya kuota ndoto miguu yangu ni michafu. Nami nimeenda nyumba fulani naomba niingie bafuni nipashe miguu ibadilishe na nguo. Katika kutafuta fasiri nimefika hapa . Asante sana
Nimejiuliza pia anasali sura zote za quran na majini yanamshinda? Ningewasha moto mpaka huyo baba angekimbia nyumba yake. Najifunika na damu ya yesu misukule inivae uwiii kwa kweli kina la Yesu lina nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.