Tena Kamanda Mohamedi Mtoi hakuea hata na kovu la miba lakini kumbe alivunjika pingiri moja ya UTI wa mng'ongo na ikazama ndani ikasabisha kifo! Nilikuwepo mwili ukifanyiwa uchunguzi! Japo watu wa nje wanadai ni uchawi! Mwacheni Mungu afanye kazi yake!
Matokeo Jimbo la Lushoto
Mwenyekiti jimbo
-Philemon Mtoi
Katibu
-Germano Mbelwa
Katibu Mwenezi
-Wencenslaus A. Diem
Mweka Hazina
-Frowin Mgani
Mwakilishi Mkutano mkuu
-Dickson J. Shekivul.
Wajumbe Kamati Tendaji
-Yassin Madiwa Hoza
-Charles Thomas
-Pius Raphael.
Nimevutiwa na majibu yako! Umejibu kwa hoja madhubuti na hapo ndio ninapoipenda chadema ina watu makini sana. Makene ni kujulishe tu wakati tupo mkwawa university makamanda wa pale tulifanikiwa kujua hila za ccm kupitia kwa Wasira ambaye alikiri mbele yetu mwaka 2007 kuwa mwisho wa chadema na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.