Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 170
Katika nchi zenye demokrasia ya ukweli serikali haina mamlaka ya kufungia magazeti au chombo chochote kile cha habari.
Hata kama yanatangaza nje ya maadili? kama ngono au kuhamasisha uzinzi, chuki (vs Upendo), kuhamasisha ukeketaji, ...?????? yaachwe tu sababu ya demokrasia au ????