Wakati wetu tulifupisha BS hicho cha biological science, niliwatunzia wadogo zangu hicho kitabu lakini hakuna hata aliefuata masomo ya sayansi. Ngoja waje wenye soft copy
Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore.
Baada ya kuipeleka kwa fundi aliniuliza kama naweza kukumbuka email na password za google akaunti yangu...
Hatuna siku zetu, ilimradi tuña afya njema. kila muda huwa tuko hot, mnatukosea sana mnavyotunyima hata nikichepuka kama matokeo ya kunyimwa huwa sijutii kabisa sijui kwa nini tuliumbwa kuwa hot muda wote
Hakika Inasikitisha sana. Najiuliza maji yalimzidije akazama?
Sijawahi kuogelea kwenye bahari lakini nimeogelea ziwani na mtoni. Tukiwa vijana wadogo ( umri wa miaka 12- 13) tulikuwa tunaogelea maji yenye kina kirefu, mara 3 ya kimo chetu bila life jacket na tumewahi kumwokoa kijana mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.