Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ester Bulaya ambaye pia ni Waziri Kivuli (Ofisi ya Waziri Mkuu) wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, amewataka Waziri, Jenista Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kujiuzulu, baada ya Rais Magufuli...