Utani wa Rais Magufuli na waziri Kigwangalla

Apr 18, 2012
95
213
50623427_2795382047142862_4540674622588190720_n.jpg


Rais Magufuli: Hongera, naona unataka kwenda Zanzibar...umepata?

Kigwanga: (akicheka): Ahsante Mhe., si unaona ni ‘keupe’?

Rais Magufuli: (akicheka): Tena wewe si unaruhusiwa wanne?
Kigwangala: Kabisa Mhe., bado nina nafasi tatu!

Naona Shangazi kadata na Mheshimiwa :rolleyes::rolleyes::rolleyes:
 
Back
Top Bottom