Don't be negative kwani anakupima uvumilivu wako, ila umechemsha kumwanika kwetu. Keep on waiting atakuja tu.....baba, mama na wewe ni 50 au hujasema uliyokuwa umeandaa kujirusha naye akifika?
Hakuna mtu anayependa kitu kibaya duniani. Ukiona mtu anakuacha ujue chanzo ni wewe...tuache tabia ya blame shifting. Kuna mtu hata umshauri namna gani yeye utakuta anaendelea kuboronga tu. Kwa mfano unamwambia mpenzi wako "ungevaa skin jeans ungetoka vizuri, anakujibu ndio dem wako wa nje...
I agree with you 100%; what is the way forward? Maana hilo ndilo la msingi...kiukweli si busara kuendelea kuwa katika dimbwi la namna hiyo. Kwa kifupi ndoa nyingi zimebakia jina tu kwa sababu zilizoainishwa na Vukani
Hapa ni vizuri tukawa katika uhalisia; siwezi kula wali maharagwe wakati nimeutwika nvinyo...nitarudisha change tu na mke/house girl kupata taabu ya kudeki. here I mean mke aandaye chakula kinachofanana na nilivyo,,,,,lazima nitakula; vinginevyo supu ya kongoro au nyama choma inanihusu baa.
Mara nyingi tunashindwa kujua kwamba hatua zinazochukuliwa baada ya kugundua tatizo ndizo za mhimu kuzingatiwa kuliko tatizo lenyewe. Kwa mfano tatizo ni mtoto kavunja kikombe, halafu baba/mama unachukua hatua ya kumpiga hadi kunvuja mkono.....are you solving or adding the problem????
Kwa jamii...
Pole sana kwa hayo yote; kwa kifupi ni kwamba umechanganyikiwa kwasababu umejua kinachoendelea. Ni vema ujue kwamba kuna wengi wa aina yako isipokuwa hawajapata kujua kinachoendelea hence they are happy with their life. Ni vizuri ujue kuwa HIV feeds on our ignorance na sio ugonjwa wa kutisha...
Mwanamke Mpumbavu, huibomoa nyumba yake kwa mikono yake yeye mwenyewe: simaanishi kuwa wewe ni mpumbavu ila wakati mwingine nivizuri kurudi kwenye maadili ya kidini kutatua mambo yetu.
Miaka ya nyuma kidogo kuna lecturer mmoja alimfelisha mtoto wake pale SUA ingawa yule kijana alikuwa na...
Ni vizuri wasomi wa Dodoma muelewe matakwa ya watanzania na siyo matakwa ya sisiem. Ushujaa wa wabunge wa CHADEMA unamaana kubwa sana kwa rais aliyeiba kura (chakachua kura). Walichokifanya CHADEMA ni kuwaeleza watanzania wenye nia njema na nchi yao kuwa huyu rais hakuchaguliwa na watanzania ila...
Samahani mjomba halikuwa trector la kusukuma kwa mkono, ila lilikuwa na uwezo wa kutumika kwa kazi mbalimbali kama vile kukoboa mahindi na kusaga nafaka za aina mbalimbali. Naungana na wengine waliompongeza Makungu (Prof.), na hii ni dalili njema ya utumishi wake bora na umakini. Honengera ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.