ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
- Thread starter
- #21
We acha destiny1 omba mungu yasikukute kama haya utapagawa bure
Kwani wewe ukoje mshua?
Afu nimekumiss. Unasalimiwa na yule mdada mzuriii wa ile hoteli yako unayoipendaga.
Usipojua jinsi ya kuishi na hawa viumbe ndo watakuumiza kichwa,dnt take thm too serious....jipende jikubal jiamin enjoy life...
Waongo wapo na wakweli wapo, hii ndio dunia...ila naona bado hujafunguka huyo mwenzako kapatwa na maswaibu gani haswa
kabisaaa! Zama za kupenda kwa hisia zilishaisha, sahv unapenda kwa akili ati.
hii kitu nilisemaga hapa wakina FP wakasema eti sijampata wakumpenda nikimpata sintatumia akili bora na wewe useme,hao wakuwapa moyo ni wengine na hao wakuishi nao kwa akili ni wengine .usibweteke huyo sio mama yako ukimpata utilize mpaka msipa umkakamae kuna siku atakutupa kama tishu ukishafutia mavi wewe,akiwa mbegu mzuri unarudisha ulivochuma taratibu we utakuja lia wewe maujanja nshampa Ciello nsisikie akilia hapa
usipojua jinsi ya kuishi na hawa viumbe ndo watakuumiza kichwa,dnt take thm too serious....jipende jikubal jiamin enjoy life...
Usipojua jinsi ya kuishi na hawa viumbe ndo watakuumiza kichwa,dnt take thm too serious....jipende jikubal jiamin enjoy life...
mother teresa on duty!!!!!!!!!
ha haaaaa, mimi nitasema tena na tena nivea..... mimi ninaye ambaye naona anafaa kupewa moyo, na nimempa..... akija kuutupa hainihusu... kwa sasa nafurahia maisha 100% sina wasiwasi.....hii kitu nilisemaga hapa wakina FP wakasema eti sijampata wakumpenda nikimpata sintatumia akili bora na wewe useme,hao wakuwapa moyo ni wengine na hao wakuishi nao kwa akili ni wengine .usibweteke huyo sio mama yako ukimpata utilize mpaka msipa umkakamae kuna siku atakutupa kama tishu ukishafutia mavi wewe,akiwa mbegu mzuri unarudisha ulivochuma taratibu we utakuja lia wewe maujanja nshampa Ciello nsisikie akilia hapa
Sio wote bana,
Mbona mie siko hivyo............