Duh! Wanaume kwa kupenda sifa!

Duh! Wanaume kwa kupenda sifa!

Hivi unajua watengeneza vipindi huchagua kile wanachoamini kwamba kitavutia katika masikio ya wasikilizaji?
Kwanza mie sisikilizi hiyo redio kabisa.

dada unapohusisha vitu vya kisaikolojia na physiology unakosea sana. Nyie huwa hatujui kwa sababu huwa mnatega tu shimo! Bora shahawa zimemwagwa unavaa tu chupi na kuondoka! Mbona wanawake wengi huwa wanakimbia tendo la ndoa kwa sababu hawafurahii? Unadhani wanaosemaga, ukimaliza nifunike vizuri, tatizo nini? Au kwa sababu clitoris ni fupi hivyo hatuwezi kujua? Huwezi ukatumia nguvu(physiology) kulazimisha ubongo kufikiri(psychology). You are justifying your point with wrong points. Ungenambia mmeo akikosolea hata kulima au kufanya kazi hawezi ningekuelewa. Of course tuko weak in psychology lakini we are stronger than you in other aspects.
 
Kuna mambo madogo madogo yanayowahusu wanaume huwa watu wengi hawayaoni na kufanya tafakuri. Katika makuzi yangu nimegundua udhaifu ambao wanaume wengi wanao lakini hausemwi kwa sababu ya mfumo dume kutawala. Nimegundua kwamba sifa ndio inayowauwa wanaume wengi, kwa kutaka kwao, kuimarisha mfumo dume walionao (ego)

Nitajaribu kueleza kidogo kuhusu maana ya hili neno ego, kwa tafsiri yangu isiyo rasmi, naomba munirekebishe kama sitapatia. Kwa mujibu wa nadharia za wanasaikolojia ego ni yale tuliyofundishwa na jamii kwa ujumla, yaani yale tuliyoambiwa kwamba ni mabaya au mazuri kwa mujibu wa jamii. Kwa mfano wanaume wamefundishwa kwamba wao ni kichwa cha nyumba, wao ndio wenye maamuzi sahihi, hawakosei, wana akili kuliko wanawake, wana mamlaka juu ya wanawake, wao ndio wanaotakiwa kuchumbia kulipa mahari na kuoa, na mambo mengine mengi tu unayoyafahamu.

Kwa hiyo ndio sababu utakuta wanaume wanapenda sana sifa, wanataka wanawake wawaone kwamba wao ndio bora kabisa na wasioshindwa na jambo lolote. Ukitaka mwanaume akuchukie basi mkosoe. Adui mkubwa kabisa wa mwanaume ni kukosolewa, lakini sio kwamba wanawake hufurahia kukosolewa, naomba nieleweke hapa, kwa kawaida mwanamke anapokosolewa haimpi shida, kama ilivyo kwa mwanaume, kwani kutokana na mfumo dume, wanawake wamekuwa wakikosolewa tangu miaka milioni iliyopita na kutupiwa lawama hata kama kosa ni la mwanaume.

Hebu soma Mwanzo 3 fungu la 11 mpaka la 13, naomba ninukuu:

“Akasema ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale? Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala. Bwana Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya nikala”. Mwisho wa kunukuu.

Kwa mujibu wa maandiko Eva alidanganywa na Nyoka ale tunda la mti wa katikati naye akamdanganya Adamu ili ale lile tunda, hivi hapo kosa ni la nani? Yule aliyedanganywa au aliyedanganya? Kwa nini Adamu asikatae kula lile tunda? Si alikuwa anajua kabisa kwamba walikatazwa na Mungu kutokula hilo tunda la mti wa katikati? Kwa nini asihoji sababu ya kutakiwa kula hilo tunda na Eva? Ukichunguza sana utagundua kwamba yote hiyo ilikuwa ni kutaka sifa, alitaka awe na uwezo kama wa Mungu ili ajiridhishe, kwani alipewa kila kitu katika ile bustani ya Edeni lakini hakuridhika akautaka Umungu! Halafu leo analaumiwa mwanamke!

Mpaka hapo nadhani umeona ni kiasi gani wanawake wamekuwa wakikosolewa na kulaumiwa tangu enzi na enzi, na umeona hata Biblia imekiri hilo. Ndio maana Mwanaume akikosolewa na mwanamke huumia sana, kwa sababu ya mazoea. Humfanya mwanaume kuona kama vile amenyang’anywa uanaume wake, hana thamani tena na hastahili. Kama wewe ni mwanamke ukitaka kumuathiri mwanaume kisaikolojia basi mkosoe.

Kwa kawaida kukosolewa au kukosoa siyo jambo lenye kuweza kumpa mtu jazba. Lakini hivi sivyo ilivyo kwa mwanaume, kwani mfumo dume yaani ego ndiyo inayotawala kichwani mwake. Tunashuhudia hata huko mashuleni tuliposoma, kama ukimzidi mwanaume kwa alama katika mitihani hasa kama anasifiwa kuwa ana akili sana, hiyo inaweza kumuathiri kisaikolojia, na anaweza kukosa raha au hata kujenga chuki.

Kwa upande wa sisi wanawake, nimejifunza jambo moja, kama umeolewa au uko kwenye uhusiano na mwanaume, basi kuwa makini sana unapomkosoa mwenzi wako. Kwani unapomkosoa mumeo au mpenzi wako mara kwa mara unaweza kumfanya kukosa nguvu za kushiriki tendo la ndoa kwa sababu maumivu ya kukosolewa huendelea hadi kitandani. Kwa bahati mbaya wanawake wengi hatujui na tunadhani wanaume ni kama sisi, kwa hiyo tunapowakosoa wanaume zetu tunaamini kwamba tunaweza kuwabadili kitabia kumbe ndio kwanza tunaelekeza uhusiano wetu au ndoa zetu shimoni.

Incomplete investigation dada, ego iko on either of the gender, it depends with level of one's self-esteem level na sababu nyingine kama makuzi, elimu... Na kwa maoni yangu, unazidi kuonesha kuwa wanawake ni dhaifu kwa uzi wako huu, kwa kukiri udhaifu ambao hautawasaidia wanawake.

Mungu hakumuumba mwanamke awe dhaifu dhidi ya mwanaume, ila amempa mamlaka mwanaume kumwongoza mwanamke.
 
Ningefurahi sana huyu bidada angenipa maana ya mwanamke na mwanamume apart from having p.u.s.s.y and d.i.c.k!!!!
 
VUKAN nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa lakini naomba ukumbuke na haya
::
Umeeleza mtazamo wa Sigmund Freud ktk Id,Ego na Superego,,lakini mtazamo huu upo ktk individual level,,kuna Erick Erickson ambaye aliathiriwa kimalezi ya kijamii hadi kuja na saikolojia ya malezi ya jamii ambapo athari kubwa za malezi hutoka nje ya mtu.
::
Ni kweli wanaume tunapenda sifa,,lakini kila mwanadamu anapenda mambo manne,CHAKULA,SIFA,MAVAZI MAZURI na MALAZI MEMA..mf. Ni wanawake wangapi wamenaswa ktk mtego wa ngono na uzinzi kwa kusifiwa tu? We mzuri!
::
Mafanikio ya mwanaume ktk nyumba ndio fahari ya mwanamke.Na kulingana na tafiti nyingi wanawake wenye matatizo mengi ktk ndoa zao hawana psychological approach za kuwashauri waume zao.
::
VUKAN kuna mwanasaikolojia August Cury anasema
"Never criticise anyone before you praise first" itakusaidia kushinda matatizo yasiyo ya lazima.
=
Si jambo rahisi kushinda nguvu ya asili wala kubadili malezi ya muda mrefu.
 
Asante kwa darasa!

Sent from my BlackBerry 9360 using Jamie's
 
Umejitahidi kusema, Mwanaume ni Kichwa kwa vyovyote vile, Lakini ili kukamilika katika utimilifu wake anahitaji mwanamke. Nadhani kukosoa unakosemea ambazo wengi wenu huishia kwenye kalma, ni zile za kuzodoa, au kumsuta pengine hata mbele za watu juu ya jambo flani, hilo halikubaliki, Sidhani kama yupo ambaye utamshauri kwa busara juu ya tatizo flani then akasirike, ukitaka kuamini nayosema akikosea muite chemba mwambie hili na hili haliko sawa, hata asipokiri kupokea ushauri wako, LAZIMA ataufanyia kazi na mabadiko utayaona akiamini analinda ego yake. ila ukianza kumfokea nini nini, utachezea sana kelbu.
 
King'asti asante sana kwa hilo nililoBOLD, hizi ni baadhi ya hekima/ busara wengi wanakosa wanaposakosoa wengine, wanaishia kubomoa. Ubarikiwe.

Sasa umejua hilo, mpe atakacho. Msifie, mfanye ajisikie kiongozi na anaetumainiw. Hata Yesu tu akiwa duniani alikuwa anawauliza wanafunzi wake 'watu wanasema mimi ni nani?' na nyie mnasema mimi ni nani. What do you think that was? Hata Mungu anasema mimi ni Mungu mwenye wivu, usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kazi yako ni kumwaga misifa tuuu. Baby that, honey this, sweetheart those. Hata kama unamkosoa unaanza na sifa, 'mpenzi, nashukuru sana unavyotuangalia mimi na watoto na kuhakikisha tuko vizuri saa zote. Kitu kimoja tu kinanisumbua, najua kiko ndani ya uwezo wako. . . . . '
 
Hahaaa, wewe hujiulizi tu kwa nini wanawake huwachukia sana wanaume ambao huonekana wana tabia/hulka/ego ya kike???? ni kwamba hawaipendi ya kwao au vipi? na kama wanaikubali sana yakwao kwa nini wawachukie na kuwabeza wanaume wenye mambo ya kike kike??? Mwanume kuheshimu ego yako ni muhimu sana maana ndio uanaume wenyewe huo. ila isizidi hadi ukaanza kukanzanimiza haki za akina 'hawa'

Ni hivi bi dada, afanyayo mwanaume ambayo wewe umeitafsiri kama "ego" ni hulka ambayo tumeumbwa nayo, na ndio maana hapo awali nimekudokezea kuwa, tulipewa mamlaka ya kutawala na wala sio kutawaliwa, ushawahi jiuliza kwa nini Yesu alikuwa mwanaume na si mwanamke, vivyo hivyo kwa manabii na mitume wengi waliopita...
Sifa huambatana na yule zinayempasa kuwa nazo.
 
Dunia kwa sasa inatawaliwa na wanaume, unaweza kusema kuna upendo na Amani kote? Viongozi wetu wanauza nchi kwa ajili ya masuti daily. uchumi mbaya, maendeleo zero. Naamini tunahitaji wanawake zaidi kwenye madaraka. Look at Rwanda, they're doing incredibly well.


Hii mada bana! Eti kisa ego!!
Mwanamke akiwa rais taifa simu zote linakuwa weak! Na maendeleo yanakua ovyo! Mataifa yooote kama yangekuwa na marais wanawake, basi kungekuwa na mabifu kila kona! Hebu wasikilizeni wanawake wa CLOUDS FM, umbea tuuuuuuu ndo sifa kubwa ya wanawake, wanawake hawatizami mbali, wanatizama short term effects! Inshort wanawake ni wa chini ya wanaume!

Na kuhusu uyo Adam, mama, mapenzi ya adam kwa mkewe ndo yamemfanya ivo! Sisi mtume wetu ametwambia kuwa, hapa duniani anaondoka akiwa ameacha shari 3, wanawake, mali na watoto!
Mwanamke anaweza akakugombanisha na mama yako!!!
 
Hewala mkuu.
Lakini mbona pamoja na kupewa mamlaka hayo na Mungu, lakini pale itokeapo mwanamke akam- criticize mwanaume japo kidogo tu, yeye anaishiwa na nguvu kabisa. mimi nilitarajia atatumia maguvu hayo kujitutumua na kuonyesha kwamba hayuko hivyo kama navyofikiriwa.

Hebu chukulia mwanaume anaambiwa na mpenzi wake mara baada ya game kuwa hajaridhika kwa sababu jamaa ana kibamia na hajamfikisha kileleni,....

Unatarajia huyu mwanaume atajona vipi mbele ya wanawake na wanaume wenzie?

Kwa mwanamke is not a big deal kukosolewa, inaweza kumuuma lakini sio kwa kiwango kama cha mwanaume, kumbuka huyu mwanaume ndiye aliyepewa mamlaka na Mungu! halafu akosolewe na kiumbe alichoambiwa kwamba yeye ndiye kichwa cha hicho kiumbe!

Je, una maoni gani juu ya hilo mkuu?

Tatizo unakutana na matembele, njoo ukutane na wanaume uone!
 
nakubaliana na wewe kuhusu kufukuzia mabinti, lakini wengine hata hazisimami au huishia kumaliza haraka hivyo ili kuficha udhaifu wao huishia kuhonga hela nyingi kutunyamazisha tusitoe siri zenu nje.

Unadhani hawa wanaotangaza kuuza dawa feki za nguvu za kiume wanazuka hivi hivi, wanajua soko lipo kwa sababu wanaume wengi ni dhaifu,

Ukikutana nao kelele nyiiingi, kwenye game tembele!


Bi dadanaonekana umefukunyuliwa vya kutosha hadi kupata sample za kutosha!
 
NAWATAKA RAZI bana!sikutaka kusema nyie ndo tembele loh!mbona ningekuwa sijitakiiii!
Kwahiyo uliotumenshen ndio tuna upungufu wa nguvu za kiume?

hakyanani tutake razi!!
 
mi nilishajikubalia uanamke wangu na uanaume wa wanaume!wawe na ego idi in naona sawa tu!ah!inanisave vitu kibao mie!LOL!
 
mi nilishajikubalia uanamke wangu na uanaume wa wanaume!wawe na ego idi in naona sawa tu!ah!inanisave vitu kibao mie!LOL!
heri ni wewe uliyekubali kukaa kwenye nafasi yako amin amin nakwambia hutopata shida na mambo ya beijing!
 
I agree with you 100%; what is the way forward? Maana hilo ndilo la msingi...kiukweli si busara kuendelea kuwa katika dimbwi la namna hiyo. Kwa kifupi ndoa nyingi zimebakia jina tu kwa sababu zilizoainishwa na Vukani
 
Back
Top Bottom