Pande zote mbili wasikilizwe kwa umakini sana,
Swala la kusukuma mtoto kabla ya muda muafaka linaweza kusababisha kifo cha mtoto,
Na swala la kulabua mjamzito kofi la uso nalo linaweza kumchanganya mjamzito network ikakata,
Hapa wasikilizwe wote kwa umakini mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.