Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,879
- 5,272
Je uliwahi kuipanda hiyo basi -''Sirori Teina Horo'' Maana yake Sisimizi hana hasira. Mimi nilisimuliwa tu sikuwahi kuiona ila dada na kaka zangu waliwahi kusafiri nayo.
THIRORI TEINA HORO MIRA...................SIRORI sio sisimizi wewe mtoa post: SIRORI ni nyuki wadogo wale ambao sio wakali na wanatengeneza asali ambayo wataalamu wanasema ni nzuri na sometimes inatumika kama dawa. (asali ya nyuki wadogo)
SIRORI TEINA HORO means nyuki wadogo hawana hasira
INA KORIKORITHI
THIRORI TEINA HORO MIRA...................
NACHEKA SANA HAPA NAKUMBUKA MBAAAAAAAAAAAALI NIKIWA KADOGOOINA KORIKORI
theka kadoriNACHEKA SANA HAPA NAKUMBUKA MBAAAAAAAAAAAALI NIKIWA KADOGOO
Nemo judex in causa sua, Ambiere evavaambiere
Sirori sio nyuki wala sisimizi, ni inzi flani wadogo wadogo mara nyingi wanaonekana msimu wa embe!SIRORI sio sisimizi wewe mtoa post: SIRORI ni nyuki wadogo wale ambao sio wakali na wanatengeneza asali ambayo wataalamu wanasema ni nzuri na sometimes inatumika kama dawa. (asali ya nyuki wadogo)
SIRORI TEINA HORO means nyuki wadogo hawana hasira
Mh! mbunzeSirori sio nyuki wala sisimizi, ni inzi flani wadogo wadogo mara nyingi wanaonekana msimu wa embe!
Duc In Altum.
Mbunze,,, ni kitu kingine, hawa ndio wale nyuki wadogo.Mh! mbunze