Aliwahi Fanya field mkwawa high school. Wkt huo tukiwa wanafunzi, kwa kweli brother huyu siyo wa kumuamini. Si mzalendo ni mtafutaji na wajanja walishamjua!
Nijuavyo, recommendations za awali kwenye fomu zinajazwa na mkuu wa shule. Baadae majina yanarudishwa kwa walioteuliwa kupitia kwa Afisa Elimu wilaya.
Hata hivyo haipaswi kuwa na mgogoro na mkuu wako wa kazi. Hiyo ni nidham mbaya na insubordination. Ni vyema watumishi wakaendelea kutii mamlaka...
Nikikumbuka akili za waalimu naona bora za wanafunzi. Wacha waipate akili zianze kurudi. Hapo ukute wanashinikizwa na CWT kupata umaarufu kua wanasaidia waalimu
Wakurugenzi wengine igeni mfano wa Mkurugenzi huyu. Fedha ya serikali siyo ya kugawa ovyo tena kwa waalimu.
Sipati jinsi Joyce anavyotanua miguu na kugumia. Lkn huenda hiyo post si yake Bali ameingiliwa. Kwa umakini alionao Kiria sitegemei aandike hadharan hayo yaliyoandikwa. Amejijengea heshima kubwa hawezi kuiharibu kirahisi hivyo
Hiyo gari imepitwa na wakati. Simshauri mtu anunue RAV 4 au ESCUDO SUZUKI. Ni kama Landroveer 109. Zishapitwa na wakati na hakuna ushauri utakaokusaidia
Tata mpya ni 115m, hapo utatakiwa kutengeneza carrier na kupaka rangi. Gari inatoka na rangi nyeupe. INA kuwa pia na sehem ya kuwekea TV na music system
Gari hizi zina matumizi mazuri ya mafuta. Tatizo hazipendi milima, rough road, zina matatizo ya Umeme usipokua muangalifu. Mafundi wa gari hizi...
Utengule unayoisema siyo hiyo. Yeye kwako ni Utengule ya Mbalizi Mbeya njia ya kwenda mkwajuni Chunya. Hiyo Utengule ya Usangu ni ya kwako. Hata hivyo pole sana kwa walioguswa na msiba wa Masogange
Bandiko limekaa kichochezi. Wewe unajuaje km aliempa mimba ni huyo mwanafunzi wa form 4? Je mtiwa mimba amemtaja?
Kawaida siyo kazi ya uongozi wa shule kumweka ndani mtuhumiwa Bali ni polis na mtendaji kata. Onto, acha kuandika usichokijua kwani andiko lako linakosa mvuto
Watanzania lini mtatulia muwazie mema kwa serikali na viongozi wake? Imezidi na imetosha, tulieni fanyeni mambo mengine. Hii kosoakosoa haitupeleki popote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.