Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,042
- 1,280
This is also how Mkumbo was turned.
Mwenyekiti wa CCM kule mkoani mara si Raia wa Tanzania lakini CCM wanamlinda kwa gharama kubwaWell, this could be true, lakini so far hatuna ushahidi wa wale waliofanya ufisadi walipoenda upinzani. By the way, ninapoongelea upinzani simaanishi vyama vyote vya upinzani vilivyopata usajili wa kudumu. Kuna vyama vya upinzani ambavyo mandate yake inaishia kisheria lakini havina legitimacy! Naongelea sanasana vyama vinne vya CUF, CHADEMA, TLP na NCCR. Sasa wale wa CCM wametajwa kwa majina na vituko walivyovifanya kuanzia A hadi Z. Kama kuna tuhuma pia kwa wapinzani ziwekwe hadharani kwa ushahidi unaoshikika kama ule uliotumika kwa wale wa CCM. Vinginevyo kila mtu anaweza kumtuhumu mtu kwamba ni mwizi, fisadi na vile, lakini bila ushahidi wa maana zinabaki kuwa kelele katika jitihada za kuonyesha kuwa hata wapinzani ni walewale wakati pengine sio!
Falsafa hiyo ishamtafuna na yeyeKitila, you are a critical thinker.. Thank you.
Nakubaliana na philosophy ya "Lucifier effect". It is funny but very educative.
Ha ha ha kamuulize leo msimamo wake ni upi?Sawa Kitila, Makala imetulia sana; Nafaham msimamo wako mzuri wa maendeleo toka ulipokuwa Leader wetu University of Dar es Salaam.
Please keep it up,
Kwa hiyo hatua ya kwanza ya mtu yeyote anayetaka kupambana na matatizo ya nchi yetu ile kwa kupitia siasa ni kuchagua njia ingine mbali na CCM.
Hakuweka akiba ya maneno, Lazima uwe na akiba ya maneno, Aliongea sana nae ameenda kuchafukaSababu kuu ya kuipenda JF huwa wana archive posts vizuri kwa reference baadaye. Daaah, safi sana hatimaye mbwa karudia matapishi yake. Huyu huyu Mkumbo alikuwa anatushawishi kipindi tuko wanafunzi UDSM kujiunga na Chadema, leo hii ndo kwishnei.
Usitukane wakunga na Uzazi ungalipoHii theory ikiwa ni ya kweli maanake ni kwamba hata hao wasomi tatizo ni hilohilo mara walipojitumbukiza ndani ya CCM wakaenda na maji, wakapenda uovu, wakautukuza na kuusifu! Mwisho wa siku walionekana watu wa ajabu mbele ya jamii! Mifano ipo tele na kedekede!
Hii inamhusu mtoa madaKitila,
siyo watakatifu peke yao wanaogeuka waovu wakijiunga na CCM. kuna wasomi wanaogeuka na kufanya mambo ya hovyo kabisa wakipewa uongozi na CCM.
Nitafurahi kama utalitafiti suala la wasomi kufanya mauzauza wanapojiunga na utawala wa CCM.
Yajayo yanafurahisha, Sasa anakula kuku kwa mrija, Tablemanners huruhusiwi kuongea ukiwa unakulaNimecheka sana, nikasikitika sana. Hii tabia ya kufukua makaburi muache.
Hivi boss wangu Kitila anaweza kupitia uzi huu??
Thanks kwamba JF sio Instagram kwamba unaweza futa sredi zako za Zamani. Ona aibu hii kwa boss wangu.
Kashaliwa kichwaHa ha ha kamuulize leo msimamo wake ni upi?