mbayumbayu
Senior Member
- Jan 25, 2012
- 110
- 82
ITV mmetuangusha sana leo. Mhavile kesho kaa na watu wako hii kitu isijirudie tena. Mmetia aibu sana
Sasa wanamdanganya naniKwani unadhani ni bahati mbaya Kafulila kuwa peke yake kwenye kipindi? Huo ni mkakati. ITV wanatumika tu.
Siku hizi nimepoteza hamu ya kufuatilia habari hasa kwenye TV. Bora kusoma mitandaoni. Ni bora mtu uwe ignorant utaishi kwa amani kuliko hali ya sasaITV mmetuangusha sana leo. Mhavile kesho kaa na watu wako hii kitu isijirudie tena. Mmetia aibu sana
..unadhani hao itv wamemualika kwa Bahati mbaya? hiyo tv kwa sasa ningumu kutofautisha Radio Uhuru na hiyo! Full ujinga!Haileti maana ya kipindi cha leo kufanyika, tunaomba sana Kafulila hawezi kuzungumza peke yake kwa mantiki moja tu hatutawaelewa mkija kutuambia tahadhari ya kwamba mdahalo huu sio msimamo wa ITV......