Wingi wa wabunge wa CCM ndani ya bunge la Tanzania ni mzigo kwa mlipa kodi

gemmanuel265

JF-Expert Member
Feb 16, 2016
8,485
18,045
Wajibu na majukumu ya mbunge kikatiba ni kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuiwajibisha pale inapobidi

Wabunge wote bila kujali vyama vyao vya kisiasa majukumu yao kikatiba hayatofautini, hivyo ni aibu kubwa sana kuona wabunge wa chama tawala wanapogeuka kuwa sehemu ya serikali iliyoko madarakani

Hii ni aibu kubwa sana kwa muhimili huu wa bunge kwa kukosa sifa ya uwakilishi wa wananchi na kuwa sehemu ya uwakilishi wa serikali, na kibaya zaidi watu wanaokosoa utendaji kazi wa bunge hili kwa hoja wanaonekana ni wachochezi

Mbunge badala ya kujadili bajeti ya maendeleo anaishia kujadili udaku wa kutunga kwenye chama pinzani na chama tawala ili kufurahisha wabunge wa chama cha upande wake

Wabunge wa ccm wanakosa kabisa sifa za kuwa wawakilishi wa wananchi sababu wanachokijadili ndani ya bunge ni kuattack vyama pinzani pekee badala ya kuungana na wabunge wa upinzani kuisimamia ipasavyo serikali, lakini wao ndio wanakuwa madodoki ya serikali kusafisha uchafu wake

Hili ni bunge kibogoyo kabisa kuwahi kutokea toka kuondoka kwa wakoloni weupe ambalo haliwezi kuiwajibisha serikali, kazi yake iliyobaki ni kujipendekeza kwa serikali iliyopo madarakani

Wabunge wa ccm ni tatizo kubwa ndani ya bunge, hawajui kilichowapeleka mule, hawajui kujitofautisha wao na serikali kama ni mihimili tofauti wa dola inayojitegemea

Wabunge wa ccm hii ya kulazimisha watu wote kusifia sifia yale yanayofanywa na serikali kana kwamba maendeleo ni fadhila ni ujinga wa mwendo kasi, serikali iko kwa ajili ya wananchi na inawajibika kwa wananchi moja kwa moja, sasa hii tabia ya kulazimisha kushangilia na kusifu kwa kupewa kidogo na kunyimwa vingi inatoka wapi!

Kutegemea mabadiliko chanya katika taifa hili kupitia bunge la aina hii ndani ya Tanzania ni kuchoma mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi.
 
..ili tufaidi matunda ya mfumo wa vyama vingi ni lazima kuwe na ratio nzuri ya wabunge wa chama tawala vs upinzani.

..ndoto yangu ni bunge letu liwe 55% vs 45% baina ya chama tawala vs upinzani. Au tufike mahali tulazimike kuunda serekali inayotokana na umoja wa vyama.

..au ili mswada wowote ule uweze kupitishwa ni lazima wabunge wa vyama tofauti waungane na kufanya kazi pamoja.
 
..ili tufaidi matunda ya mfumo wa vyama vingi ni lazima kuwe na ratio nzuri ya wabunge wa chama tawala vs upinzani.

..ndoto yangu ni bunge letu liwe 55% vs 45% baina ya chama tawala vs upinzani. Au tufike mahali tulazimike kuunda serekali inayotokana na umoja wa vyama.

..au ili mswada wowote ule uweze kupitishwa ni lazima wabunge wa vyama tofauti waungane na kufanya kazi pamoja.
Kuwa na ratio ya hiyo itasaidia sana taifa kuliko hivi sasa bunge halina tija yoyote kwa nchi
 
RUZUKU mnayopokea Chadema kwa sasa ndio zigo la mwiba kwa mlipa Kodi na sio wingi wa Wabunge wa CCM. Rejea Ripoti ya CAG.
 
Wajibu na majukumu ya mbunge kikatiba ni kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuiwajibisha pale inapobidi

Wabunge wote bila kujali vyama vyao vya kisiasa majukumu yao kikatiba hayatofautini, hivyo ni aibu kubwa sana kuona wabunge wa chama tawala wanapogeuka kuwa sehemu ya serikali iliyoko madarakani

Hii ni aibu kubwa sana kwa muhimili huu wa bunge kwa kukosa sifa ya uwakilishi wa wananchi na kuwa sehemu ya uwakilishi wa serikali, na kibaya zaidi watu wanaokosoa utendaji kazi wa bunge hili kwa hoja wanaonekana ni wachochezi

Mbunge badala ya kujadili bajeti ya maendeleo anaishia kujadili udaku wa kutunga kwenye chama pinzani na chama tawala ili kufurahisha wabunge wa chama cha upande wake

Wabunge wa ccm wanakosa kabisa sifa za kuwa wawakilishi wa wananchi sababu wanachokijadili ndani ya bunge ni kuattack vyama pinzani pekee badala ya kuungana na wabunge wa upinzani kuisimamia ipasavyo serikali wao ndio wanakuwa madodoki ya serikali kusafisha uchafu wake

Hili ni bunge kibogoyo kabisa kuwahi kutokea toka kuondoka kwa wakoloni weupe ambalo haliwezi kuiwajibisha serikali, kazi yake iliyobaki ni kujipendekeza kwa serikali iliyopo madarakani

Wabunge wa ccm ni tatizo kubwa ndani ya bunge, hawajui kilichowapeleka mule, hawajui kujitofautisha wao na serikali kama ni muhimili tofauti wa dola inayojitegemea

Wabunge wa ccm hii ya kulazimisha watu wote kusifia sifia yale yanayofanywa na serikali kana kwamba Watanzania tunapewa ni fadhila ni ujinga wa mwendo kasi, serikali iko kwa ajili ya wananchi na inawajibika kwa wananchi moja kwa moja, sasa hii tabia ya kulazimisha kushangilia na kusifu kwa kupewa kidogo na kunyimwa vingi inatoka wapi!

Kutegemea mabadiliko chama katika taifa hili kupitia bunge la aina hii ndani ya Tanzania ni kuchoma mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi.
Katiba mpya ndiyo suluhu
 
kwani wee huon jamaa alivyo bize kinunua wabunge ili apunguze upinzani bungeni.ili litakapo fika swala la kuongeza mda lisiwe na tabu kupita, maana wabungr wa ccm wengi kichwani hakuna.kitu
 
..ili tufaidi matunda ya mfumo wa vyama vingi ni lazima kuwe na ratio nzuri ya wabunge wa chama tawala vs upinzani.

..ndoto yangu ni bunge letu liwe 55% vs 45% baina ya chama tawala vs upinzani. Au tufike mahali tulazimike kuunda serekali inayotokana na umoja wa vyama.

..au ili mswada wowote ule uweze kupitishwa ni lazima wabunge wa vyama tofauti waungane na kufanya kazi pamoja.
Hatuwezi kuwa na ratio kw akatiba hii ambayo tume ya uchaguzi ipo chini ya ccm
 
Mbona kipindi hiki kuna kuisakama sana serikali na bunge
Kwasababu hawatimizi majukumu yao ya kibunge! Usisahau kazi ya kusifu siyo jukumu la kisheria la mbunge na ni kukiuka kazi zake waziwazi! Kasome kazi za mbunge ili uelewe ninachokisema!
 
Mkuu, tatizo ni "Uoga" na "Unafiki". Sio kwa Wabunge wa CCM pekee, bali Watanzania wengi kama sio wote.
 
Wajibu na majukumu ya mbunge kikatiba ni kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuiwajibisha pale inapobidi

Wabunge wote bila kujali vyama vyao vya kisiasa majukumu yao kikatiba hayatofautini, hivyo ni aibu kubwa sana kuona wabunge wa chama tawala wanapogeuka kuwa sehemu ya serikali iliyoko madarakani

Hii ni aibu kubwa sana kwa muhimili huu wa bunge kwa kukosa sifa ya uwakilishi wa wananchi na kuwa sehemu ya uwakilishi wa serikali, na kibaya zaidi watu wanaokosoa utendaji kazi wa bunge hili kwa hoja wanaonekana ni wachochezi

Mbunge badala ya kujadili bajeti ya maendeleo anaishia kujadili udaku wa kutunga kwenye chama pinzani na chama tawala ili kufurahisha wabunge wa chama cha upande wake

Wabunge wa ccm wanakosa kabisa sifa za kuwa wawakilishi wa wananchi sababu wanachokijadili ndani ya bunge ni kuattack vyama pinzani pekee badala ya kuungana na wabunge wa upinzani kuisimamia ipasavyo serikali wao ndio wanakuwa madodoki ya serikali kusafisha uchafu wake

Hili ni bunge kibogoyo kabisa kuwahi kutokea toka kuondoka kwa wakoloni weupe ambalo haliwezi kuiwajibisha serikali, kazi yake iliyobaki ni kujipendekeza kwa serikali iliyopo madarakani

Wabunge wa ccm ni tatizo kubwa ndani ya bunge, hawajui kilichowapeleka mule, hawajui kujitofautisha wao na serikali kama ni muhimili tofauti wa dola inayojitegemea

Wabunge wa ccm hii ya kulazimisha watu wote kusifia sifia yale yanayofanywa na serikali kana kwamba Watanzania tunapewa ni fadhila ni ujinga wa mwendo kasi, serikali iko kwa ajili ya wananchi na inawajibika kwa wananchi moja kwa moja, sasa hii tabia ya kulazimisha kushangilia na kusifu kwa kupewa kidogo na kunyimwa vingi inatoka wapi!

Kutegemea mabadiliko chama katika taifa hili kupitia bunge la aina hii ndani ya Tanzania ni kuchoma mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi.
Kamanda: are you saying unataka Bunge liwe na wabunge wa upinzani wengi zaidi kuliko Chama Tawala? What kind of horseshit is tht? Si bora ungekaa kimya!
 
Kina JINGALAO wanaingia na kuchungulia na kusepa. Hawawezi kukomenti chochote humu hata kusifia maana wanaona ishakuwa mzigo sasa
 
Kamanda: are you saying unataka Bunge liwe na wabunge wa upinzani wengi zaidi kuliko Chama Tawala? What kind of horseshit is tht? Si bora ungekaa kimya!

..nadhani anachopendekeza ni kusiwe na chama chenye " super majority " bungeni.

..kwa maana nyingine kusiwepo na chama kinachiweza kupitisha mswaada ktk bunge bila kushirikiana na wabunge toka chama kingine.

..kwa mfano, chama tawala wakiwa na 50% ya wabunge, huku vyama vya upinzani vikigawana nafasi zilizobaki, haitakuwa jambo baya.
 
Wajibu na majukumu ya mbunge kikatiba ni kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuiwajibisha pale inapobidi

Wabunge wote bila kujali vyama vyao vya kisiasa majukumu yao kikatiba hayatofautini, hivyo ni aibu kubwa sana kuona wabunge wa chama tawala wanapogeuka kuwa sehemu ya serikali iliyoko madarakani

Hii ni aibu kubwa sana kwa muhimili huu wa bunge kwa kukosa sifa ya uwakilishi wa wananchi na kuwa sehemu ya uwakilishi wa serikali, na kibaya zaidi watu wanaokosoa utendaji kazi wa bunge hili kwa hoja wanaonekana ni wachochezi

Mbunge badala ya kujadili bajeti ya maendeleo anaishia kujadili udaku wa kutunga kwenye chama pinzani na chama tawala ili kufurahisha wabunge wa chama cha upande wake

Wabunge wa ccm wanakosa kabisa sifa za kuwa wawakilishi wa wananchi sababu wanachokijadili ndani ya bunge ni kuattack vyama pinzani pekee badala ya kuungana na wabunge wa upinzani kuisimamia ipasavyo serikali wao ndio wanakuwa madodoki ya serikali kusafisha uchafu wake

Hili ni bunge kibogoyo kabisa kuwahi kutokea toka kuondoka kwa wakoloni weupe ambalo haliwezi kuiwajibisha serikali, kazi yake iliyobaki ni kujipendekeza kwa serikali iliyopo madarakani

Wabunge wa ccm ni tatizo kubwa ndani ya bunge, hawajui kilichowapeleka mule, hawajui kujitofautisha wao na serikali kama ni muhimili tofauti wa dola inayojitegemea

Wabunge wa ccm hii ya kulazimisha watu wote kusifia sifia yale yanayofanywa na serikali kana kwamba Watanzania tunapewa ni fadhila ni ujinga wa mwendo kasi, serikali iko kwa ajili ya wananchi na inawajibika kwa wananchi moja kwa moja, sasa hii tabia ya kulazimisha kushangilia na kusifu kwa kupewa kidogo na kunyimwa vingi inatoka wapi!

Kutegemea mabadiliko chama katika taifa hili kupitia bunge la aina hii ndani ya Tanzania ni kuchoma mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi.
Kwakifupi bunge linatumia kodi zetu kujipendekeza kwa serikali ndiyo maana pesa inapigwa kwenye madini kwa sheria ya kijinga walipitisha kwa sauti ya 'unaa' eti "ndiyoooo"
 
Back
Top Bottom