Well said wahanya......dogo ktk elimu hakuna janga la kitaifa.....ni wewe unatakaje,watu walikuwa wanatoboza mpaka one.....(ma bookworm...hapo hakuna vipaji)ni msuri kwa kwenda mbele
Hapa wengi tunahitaji msaada jamani....nawapongeza TRA system ya kupata TIN kwa sasa ni bure na ni one day process....issue imebaki halmashauri katika kutoa lesen.....hivi hizo kodi zitapatikanaje jamani????kama mnaohusika mnapita pande hizi naomba hili wazo mzingatie(Mfano...
Asante sana ndugu!
Kweli sijui idadi ya viwanda,but ni aidia nzuri nitaifanyia kazi ila by the time being nahitaji kuuza unprocessed kwanza,....nitafika tu huko but taratibu ndo mwendo.
Habari za leo wadau!
Natafuta wateja wa chumvi(un processed) nimevuna zaidi ya tani2.....kwa anae hitaji au anae jua wapi naweza pata soko naomba michango yenu wadau.
I have no word......hivo ndo baadh ya vitu vinavotakiwa kuwekwa kwenye katiba maana watu hawashibi madaraka.....ooohhh toka jk mpaka jk.....aaaaahh this too much bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.