Recent content by Andyhaule

  1. A

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Azomewa na Wananchi Karatu

    Tumeipenda wenyew ngingi....
  2. A

    Naomba ushauri katika suala la elimu

    Dah kuanza upya mkuu, huna ulilokosa we jiajir tu kwa maana chuo nilitaka nianze kuuza maji nikaamua nirud nyumban isiwe shida kwa maana elimu saiv ni kaa la moto
  3. A

    Ipo siku Mwenyezi Mungu atanilipia gharama na muda nilioupoteza.

    Umesahau moja mkuu na mikopo vyuo wametudanganya kama mimi nisharud nyumban
  4. A

    Hoja nzito: Tuwe wawazi na tufunguke

    Nimeacha chuo sijapewa mkopo
  5. A

    Hivi Kati ya Kutongoza na Kutongozwa ipi kazi ngumu?

    Dah kutongoza ni shida had jasho huwa linatoka wakati huo ukisubir kutoswa
  6. A

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Wamkamate na mark Zuckerberg, tunakoelekea yangu macho
  7. A

    INAUZWA Viatu vikali

    Usawa huu na hizo bei taishia kariakoo tu ndo type yangu
  8. A

    Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane adaiwa kupotea. Mashinji asema wanaendelea na jitihada za kumtafuta

    Nakumbuka post zako ndugu yangu yani ile ya mwisho ulikazia sana... Naogopa sana ben upo wapi mbna umechelewa rudi basi ben ndoto yako itazima ben nakuomba rudi
  9. A

    Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

    Jamani tusubiri atarudi tu
  10. A

    Vice President Samia Hassan instructs public servants to ensure justice for all

    Justice for all, heslb yan Ahh au imeniuma sema basi ila ina unafiki hii dunia #justice4lema&ben
  11. A

    Maandamano makubwa kumshinikiza Gavana Ndulu aachie ngazi BOT

    Mmepewa sh ngap hvi nikumbushe yan nyie mtakuwa vibaraka had kuzimu... Shwain
  12. A

    Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?

    Unanikumbusha nilipanga hostel huko temeke, mwenye hostel hakuwa na shida ila matron alikuwa msumbufu kwel yan hata ukiangusha ganda la pipi atafoka wee ila me nilishindwa hiyo siku nanawa uso kwa kutumia kopo la maji jipya anaanza kufoka yan we mchafu sana unanawia kopo la chooni uso utaacha...
Back
Top Bottom