1/10.
Kabla ya kuolewa ni malaika baada ya kula mkataba hakuna rangi utaacha kuiona.
Kinacholeta shida sahizi wanataka 50/50 ndo mana wanapata shida sana.
Dada poa wanajitahidi sana kuendelea kuokoa ndoa nyingi.
Kwa sasa kuoa wengi wanawaza mara 100.
Hongerq sana mzalendo.
Yamkini umeuelewa mfumo huo kwa haraka sana na madhaifu yake. Kati ya sehemu ya kumulikwa haraka ni mfumo huo vinginevyo zoezi zima litachukua muda mrefu sana na lisiwe na majibu.
Serikali yetu ni sikivu, nina imani wataliona hili
70% ya mil 45+ ni mashoga?
Sijajua vigezo ulivyotumia, Nina wasiwasi na uelewa wako . Sina Imani Kama unajua maana ya 70%
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.