Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,507
Hata Startimes hio Channel ipoContinental mkuu?
Hata Startimes hio Channel ipoContinental mkuu?
Continental ni kisimbuzi kama azam na sio channelHata Startimes hio Channel ipo
Umesema kisimchuzi?Continental ni kisimhuzi kama azam na sio channel
Eeeghh busumchuziUmesema kisimchuzi?
Aaah kumbu ni busumbuziEeeghh busumchuzi
Hawakupotea ndani ya miaka mi 5 iliyopita, vipi watapotea baada ya miaka 6 ijayo ?Waarabu wanavimba ndani ya nchi yetu
Wanajiona wajanja kwasababu ya ligu kuu
Hawajui inahitaji dkk moja tu azam kupotea hewani warudi kwao
Wanaweza wasipotee ndani ya miaka sita ijayo kwasababu fulani
ila mienendo yao lazima wataondoka
Muda ni mwalimu
Kuna mchezaji wa Yanga anaitwa Jesus Moloko, kawasikilize wanavyotamka..jeziii moloko.Naona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.
Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.
Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.
Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.
DuhKuna mchezaji wa Yanga anaitwa Jesus Moloko, kawasikilize wanavyotamka..jeziii moloko.
Kuna tamaduni nyingine huwa hazibadiliki, zinabaki na ukale katika ulimwengu wa kisasaNaona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.
Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.
Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.
Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.
Huu ndio unaitwa UNAFIKI. Maana halisi ya neno UNAFIKINaona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.
Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.
Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.
Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.
Maneno ya mkosajiWaarabu wanavimba ndani ya nchi yetu
Wanajiona wajanja kwasababu ya ligu kuu
Hawajui inahitaji dkk moja tu azam kupotea hewani warudi kwao
Wanaweza wasipotee ndani ya miaka sita ijayo kwasababu fulani
ila mienendo yao lazima wataondoka
Muda ni mwalimu
Azam wameanza leo kurusha matangazo? Au we kwenu huna TV?Mambo ya udini yaogope sana
Wanachokipanda azam media ni hatari kwa usalama wa nchi hata wakubwa wengi wanalizungumza hilii
amesema kisimhuziUmesema kisimchuzi?