Na hiyo anayekuja naye ni jasiri, maana unaenda kulala na mwanaume humjui, labda anachuna ngozi, labda mchawi, labda ana maumbile makubwa mno, labd wapo wengi, kwa sh 20k unaenda kulala naye
Wakuu kwema ?
Nilikua na wazo la kuzaa kabla ya kuoa kutokana na presha ya ndugu na jamaa, ya kutaka mjukuu kama tunavyojua familia zetu.
Lakini baada ya kuongea na baadhi ya watu wenye uzoefu kidogo, wengi wamepinga na kusema ni stress sana kuzaa kabla ya kuoa kama hutoishi naye huyo...
Wakuu Habari za wakati huu?
Kwa muda mrefu Niko natumia Bima ya afya ya NHIF ya serikali ya kawaida hii, ni nzuri Kwa sehemu yake. Ila Ina changamoto kidogo Kuna hospital hawaipokei mfano Aga Khan nk.
Sasa nataka nifahamu options ya bima nyingine ambayo naweza kuitumia sehemu kama Aga Khan...
Ina maana Kwa dirisha la 5*6 Kwa mfano, nikishalipia hiyo Hela ndo inajumuisha Kila kitu mpk zile nyavu ? I mean vipande vitatu vyote vya dirisha , kazi yangu ni kufunga na kufungua tu ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.