Sasa issue siyo tu kuwa kuna mafuta singida.
Issue ni quality ya mafuta ya singida .
Cha msingi kodi za mafuta kutola nje ziongezwe at the same time ss pia our final products ziwe nzuri zikikaribkana au kutingana na za nje.
Kwani kama Shonza alikurupuka hasiambiwe,?
Nani alipaswa kutumia ustaarabu wa kumpelekea mwenzie barua?
Hacheni kutisha watu kisa wametoa maoni yao.
Mtu anatengeneza wimbo wake kwa 20 to 50 M alafu wewe unaamka asubuhi eti umeufungia.
Nyimbo kibao za kimarekani na ki congo zinapigwa kwenye tv...
Liverpool wanakosa first class goalkeeper.
Bao la Wanyama keepee alisababisha ile punch ame punch as if anatoa assist.
Pia siyo mzuri wa kuanzisha mashambulizi.
Mignolet na huyu Kralius kula siku wanafnya silly mistake zinazo cost timu point.
I think klopp anapaswa kutafuta kupa world class.
Na wewe una li roho la kimasikini tu.
Mkuu wa mkoa wa dar alienda likizo marekani watu waka hoji kwa mshaara gani alionao.
Mbona hatukusikia mnapiga kelele?
Mtu kaishasema wanaenda kwa pesa zao.
Issue kama ni watu kuiba uko serikalini mtu anaweza kuiba still hasisafiri nje ya nchi.
Tusiwe na...
Kuna msemo kwenye bible unasema husimuavbe elimu aende zake.
Mshike sana elimu.
Hii ina apply wether ur beliver or not.
Sasa mtu kwa kuwa hajawahi kusoma ata kitabu kimoja ndani ya miaka 5 alafu Ontario anakwambia amesoma vitabu 80 ++ kwa mwaka mmoja tu bado unatakauanze kubisha.
Na unaenda...
Uelewa wake ndio umekomea hapo.
Yy anadhani wanavyo sema copy ni kama photocopy za kwenye makaratasi ;haimuingii akilini kabisa.
Angeweza kujishugulisha ata kwa dk 5 tu kutafuta ukweli angeona nyumba hiyo wameishatengeneza.
Zamani Galileo mwana sayansi wa kwanza aliyesema kitu tifauti na mapokeo...
People who are complaining kwa sababu ya kupoteza pesa kwenye forex eti kwaajili ya Ontario ni wapuuzi;
Wewe mzazi wako akikupeleka shule uka fail huwezi kusema umefail sababu babako kakupeleka shule.
Forex ilikuwepo ata kabla ya Ontario hajaileta mada hapa JF .
Na it will be there ;watu...
Haters.
Be inspired.
Wewe mwenye ushaidi kuwa ni tapeli kwann haujamfikisha kwenye vyombo vya sheria .
Ontario yupo na ofc zake zinaeleweka uzuri hapa Jf aliweka namba za simu na ofc yake ipo ;wewe wala hatujui ata physical address yako wala ata jina lako kamili.
Sasa nani tapeli?
Don't hate ;be inspired.
Kama ungelikuwa na uelewa mdogo tu ungefanya research yako ;si ajabu wewe hapo unapotokwa povu ndani ya mwaka mzima haujawahi soma ata kitabu kimoja.
Alafu ata haujawahi kutoka nje ya Africa.
Kwa waelewa amabao wametembea mbele uko vitu hivi vina make sense
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.