Jamani wale wanao jua maswala ya mahusiano msaada kama kuna people anajua dawa ya kuongeza nguvu za kiume na hamu asaidie maana kuna tatizo hapa
Yani unapiga show moja tu hamu inakata kabisaa hadi unaweza tamani kumfukuza mwenzako aondoke.pia na jamaa analala masaaa kadhaa ndo anakuja kushutuka...
Em nipatie future yang aisee tarehe yang ni 13/7 em nipe future yang maana naona ulicho kiongea kwang mimi hapo 4 ni almost true sasa umenishutua na kusema kuwa ntabaki empty hand akati na work hard
Unapo kosoa kwa kumkashifu mtu inakuwa haina maana yoyote....itaonekana ww huyo unae kosoa ni pimbi na elimu yako haikusadii chochote...
Mkosoe mtu vizur na umuelekeze pale alipo kosoa sio kumtukanisha na shule alipo somea.....
Yap..in fact kama wangekuwa wanafata katiba inavyo sema sidhan kama kungekuwa kunatokea migongano ya matusi kama hiyo..
Ila meanwhile Sabab mkulu kesha wapa madaraka from the start ya kupindisha kile anacho ona kinawakandamiza ndo maana inapelekea ishu inakuwa ovyo sanaa bungeni wanapashwa...
Ndugai ana kauri za ajab ambazo akiziongea kwake anaona fresh tu ila kwa wingine wakimtamkia au kutamkwa anaona wapo nje ya maadili ya bunge.then huyu spika ana misimamo ya kipuuz.juzi kwe mchakato wa kutafuta wawakili wa bunge la A.mashariki mtu anasomewa vipengele na miongozo anasema kiti...
Tatizo ww huna hata baiskeli sasa huwez pigwa fine ndo maana unaandika pumba kama hizo
Still inawezekana nyie ndo mnalelewa au hupo kwa shemej yako acha u folo mzee kuna makosa ambayo uwez pigwa fine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.