Recent content by anarehema

  1. A

    Equity Bank Arusha imefilisika, BOT ingia kati mapema

    Akunaga cheki ya 11,000,000 cheki mwisho milioni 10,000,000
  2. A

    Rage funga redio yako, sio wote ni CCM

    Mbona rage mwenyewe kama msomali,si bora huyo mwakasaka mnyakyusa ila ni mtanzania watanyooka tu
  3. A

    Jinsi ya kujiunga na Bima ya afya kwa mtu asiyekua mwajiriwa sehemu yeyote

    Kuna aar,,strategie na jubilee wanaangali umri wako na nataka kifurishi gani yaani benefits
  4. A

    Safari ya Wema kuelekea bungeni yaishia UWT

    Jamani tusubiri na huyo dadake wema anaishi usa anataka kugombea kinondoni,kweli tumeishiwa viongozi.
  5. A

    Viti Maalumu Singida: Martha Mlata, Chilolo kugombea kiti kimoja na Wema Sepetu

    Hiyo ilikuwa magufuli anapita singida watu waache kumpaisha wema kwa uongo.wao
  6. A

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Ndio pale jana kwenye maswali alitakiwa aulizwe nini kilitokea un akafanya miaka mitano wakati bank moon anaendela mpaka leo,si dhani kama angetoa jibu la kueleweka ila ukweli alishindwa kufanya vizuri,jaman alishindwa un,akipewa nchi ataweza kweli,Mungu atunusuru.
  7. A

    Hawa ndio waliopiga msumari wa mwisho jeneza la Lowassa

    Jamani membe ataweza kweli,akika tz tumekwisha,hao wazee wanasingiziwa
  8. A

    Naombeni msaada kuhusu Bima ya nyumba na vyombo vya usafiri

    Makampuni yote ya bima kaka jambazi.yana hizo bima kwa hapo tabora unaweza kwenda national insurance office
  9. A

    Naombeni msaada kuhusu Bima ya nyumba na vyombo vya usafiri

    Sisi ni broker tunafanya kazi na makampuni mbalimbali ya bima,tuko hapa oppsite na ocean road hospital jengo ambalo kuna office za tigo na beforward.
  10. A

    Naombeni msaada kuhusu Bima ya nyumba na vyombo vya usafiri

    Kama ni bima ndogo yaani third-party itakuwa 65,000+18%VAT
  11. A

    Naombeni msaada kuhusu Bima ya nyumba na vyombo vya usafiri

    Kuhusu nyumba unasema ina thamani gani mfano kama ni 50m inapigiwa mara 0.15% ndio utakayolipia,ukija office za bima tunakupa form utajaza baadaye tunakupatia policy document ambayo itakuelezea vitu ambavyo viko covered,kuhusu pikipiki unakija na kadi za pikipiki na unatuambia thamani ya...
  12. A

    Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

    du nimecheka mwe!u made my nite jamani
  13. A

    Sasa kumekucha uchukuaji fomu za Ubunge, Wasanii wajiapiza

    Na tea naye yumo umemsahau
  14. A

    Mange Kimambi awavaa January Makamba na Ridhiwani, Ajiunga rasmi 'Team Lowassa'

    Mange lazima amjandie January kwa kuwa urafiki wake na na mwamvita aupo tena,mwanzoni alikuwa anajidai kumsupport January lakini sasa hayupo karibu na familia hii toka alivyokisana na mwamvita,naakikosana ma mtu kazi yake nikushusha matusi
Back
Top Bottom