Happy birthday brother thanks for being a founder of the best forum in Africa.....Nimejifunza mengi kupitia mtandao huu pendwa kwangu.Mungu akupe afya na maisha marefu yenye fursa endelevu Kama hii ya jamii forum.
Ukitaka kujua thamani ya watumishi wa Uma tafuta takwimu za ukuaji wa uchumi yaaani uwezi sema watumishi hawaoneshi thamani yao wakati uchumi umepanda... Unasikii elimu Safi, miundombinu Safi, nishati Safi, afya Safi, karibia sekta zote selikali be ipo vizuri .....thamani ya watumishi...
Binafsi nakushauri kuwacheki watu wa real estate Kuna kampuni zinakopesha nyumba Ni Bora ulipie nyumba hata miaka kumi kuliko uchukue mkopo wa kiwanja then mkopo wa nyumba unapita njia ndefu mkuu.
Life za mbele azifanani Na bongo watoto wanadumaa Sana mfano mzuri angalia watoto wa diamond umri Na mwonekano wao afu fananisha Na watoto wengine wenye life ngumu uone body morphology yao...... Ni matunzo sio kufanana umri Na mtoto...
Usimwonee shigongo mkuu hata Mange kinambi anaeinfluence maandano ya 4/26 alikuwa anampigia debe Magu.... Kifupi mambo yamebadirika hata Mimi Mwishoni mwa2015- Mwanzoni Mwaka 2016 ulikuwa uniambii kitu kuhusu Mr President ..... Sasa Naipenda Tanzania tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.