Erick Shigongo ni bora ungekaa kimya tu

Erick Shigongo ni bora ungekaa kimya tu

Wewe umesema pointi kabisa. Hawapendi kwa sababu wao wanatafuta madaraka na siyo hiyo demokrasia wanayoisema. Nitajie nchi gani barani Afrika ambayo haiku was na demokrasia ila walipoingia wapinzani ndiyo wakawa na demokrasia hiyo waliyoihubiri majukwaani.
Nenda mitandaoni kwa yule chizi Mange, yeye anatukana watu asiowataka matusi ya nguoni eti anatafuta haki na demokrasia nchini. Cha ajabu ukimpinga tu (na wala hukumtukana) basi anakupiga ban. Sasa huyo anataka demokrasia? Akiingia madarakani ataiishi?
Ngoja nikusaidie lengo moja kuu la chama chochote cha upinzani duniani ni kushika dola so kuwa na mawazo mbadala sio kosa ndo maana wakaitwa wapinzani...hata kama kitu kikiwa sawa machoni pako ye akikipinga ni sawa ndo maana wakaitwa wapinzani..
 
Ana Co.ya kubet.

Majarida(Magazeti) yenye picha za ngono/story ya kwake.

Ukumbi wa dar live(uwanja wa fisi umehamia huko siku hizi) ni wake pia.

Na bado huyu bwana anajiita mlokole huku akikemea na mapepo kabisaa yaani full usanii tu.
huyo Jamaa ni muhuni ile mbaya "" wasiomjua ndio wtakuwa wababaikaji na huo udanganyifu wake
 
Usimwonee shigongo mkuu hata Mange kinambi anaeinfluence maandano ya 4/26 alikuwa anampigia debe Magu.... Kifupi mambo yamebadirika hata Mimi Mwishoni mwa2015- Mwanzoni Mwaka 2016 ulikuwa uniambii kitu kuhusu Mr President ..... Sasa Naipenda Tanzania tuu.
 
Aandike nini wakati ni kada kindakindaki? Halafu ni mgombea ubunge mtarajiwa kwa hicho chama chake cha kijani na njano chenye jembe na nyundo.Akiandika ya walilia demokrasia magazeti yake yatasemwa hayaandiki maadili mazuri ni udaku tu yafungiwe na atafilisika kisha atakosa kupitishwa kugombea ubunge.Anafanya ni win to win situation,hiyo ndiyo michezo ya kisiasa kwa maslahi binafsi kwa kuacha kuandika ukweli wa mambo yanayoonekana
Nimeipenda hii sentensi "win to win situation" ilinipa moyo kwenye issue fulani, ila sasa inanikera matunda yake sijayaona!
 
Back
Top Bottom