Mada: Gharama za Nyumba za kupanga vs kukopa kujenga

mdau mpya

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
471
636
Asalam wakuu.
Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya.
Nilikuwa nikitafakari hapa mchana mzima wa leo katika kusherehekea Muungano na gharama za kuishi hasa has kwenye jiji hili namba 1 la wachakarikaji.

Anyway ni binafsi naishi kwenye nyumba ya kupanga nalipa 300k kwa mwezi.. mpaka sasa nimeshaishi miaka 2.5 takribani miezi 30 so kwa ufupi nimelipa pango la 9m (300,000*30).

Ukiiangalia hii hela inaaweza nunua kiwanja na ikajenga msingi na baadhi ya matofali.

NB; Inategemea na eneo mf. Mbezi msakuzi (nimeenda leo kucheck kiwanja) kiwanja cha 20*20 kinauzwa 3.5 to 4.5 m. msingi unaweza kula 4m (nyumba standard).

Hii ina mana kuwa nikikaa miezi 30 mingine ntakuwa nimemjengea jamaa nyumba nzuri.

Sasa nimeamua naenda benki nakopa hela hata let say kwa miaka 6 najenga nyumba nahamia then na assume as if namlipa mwenye nyumba. after 6 years nakuwa namiliki geto langu kuliko hii system ya kusubiri hela za mboga zikupitie.

Wakuu wenye mlengo huu wa kushuto tupeane mawazo katika hili au namna nzuri ya kuondokana na hawa jamaa wanajiita landrords.

Na wenzetu mlio katka banking industry mnaweza shauri hapo kwa 300k naweza pata mkopo kiasi gani
Nawasilisha.
 
Mkuu unashauri niendelee kupanga tu
ooh hayo umesema wewe mkuu.

ila nachokuambia usikope kabisa mkuu.

ukikopa jua kwamba utanunua kiwanja lakini bado utaendelea kulipa kodi tu na bado kUna mambo ambayo utayakosa kuyafanya ambayo mambo hayo pesa yake umeenda kukopea.

sasa waonaje ukaachana na mikopo ukaanzisha kipato kingine ambacho kitakuzalishia pesa zaidi??

kwa sababu mkopo ukikopa lazima mshahara wako upungue tuu. sasa jee hicho kitakacho pungua ulikuwa unakifanyia nini?

au upo tayari ulale njaa huku pesa ingine ikilipa kodi na una kiwanja chako bacho unasubiri mkopo uishe ndo ukakope tena ili usimamishe msingi au jengo?
 
ooh hayo umesema wewe mkuu.

ila nachokuambia usikope kabisa mkuu.

ukikopa jua kwamba utanunua kiwanja lakini bado utaendelea kulipa kodi tu na bado kUKna mambo ambayo utayakosa kuyafanya ambayo mambo hayo oesa yake umeenda kukopea.

sasa waonaje ukaachana na mikopo ukaanzisha kipato kingine ambacho kitakuzalishia pesa zaidi??
Mkuu hata kuanzisha vyanzo vingine pia kuna risk ya kufilisika ua hili limekaa vipi...kwani siwezi kadiria gharama za ujenzi nikajenga nyumba na kuhamia
 
Mkuu hata kuanzisha vyanzo vingine pia kuna risk ya kufilisika ua hili limekaa vipi...kwani siwezi kadiria gharama za ujenzi nikajenga nyumba na kuhamia
pia kuna kutoka,mbona umetizama kufinlisika tu??

ninachokuambia ni kwamba ukitafuta mkopo unajinyima chance za hata kuwaza bohashara.

utawazaje kufungua biashara wakati huo mshahara wa kuanza kufanya mtaji hata kula haautoshi??

lakini ukiwa huna mkopo unaweza kujikusanya ukatafuta mtaji na ukanza kufanya yako taratibuu.

tatizo twataka vya haraka.

utajiumiza tu mkuu huo ndo ukweli.kwa sisi tunaotegemea mishahara atuu kukopa ni kufa maskini,jaribu kutunza pesa yako upate mtaji uanzishe biashara taratibu mafanikio yakija unaweza ukajenga ndani ya mwezi tu pesa c ndo kila kitu.

lakinUK kusubiri miaka mitano iishe ukakope tena daaah mtihani
 
KUKOPA UJENGE NYUMBA NI UJUHA..
Nyumba ni liability haikuinguzii faida hata chembe na zaidi utaongeza matumizi... Kopa ufanye biashara itakayokuingizia hela ya kujenga... La sivyo bana matumizi ujenge kwa kipato chako... Anza kwa kuhama hapo katafute kodi nafuu..

Kujenga nyumba ya vyumba vitatu ili uhamie bila ya kumalizia utahitaji kama 15-20m... Je ukikopa hapo utalipa kwa muda gani?
Hebu fanya huu mchanganuo..
1. Kiwanja 4m
2. Msingi 5m
3. Kupandisha mpaka lenta 5m
4. Zege 500,000/=.
5. Grill 3m
6. Milango miwili ya kukusitiri 400,000/=.
7. Bati 4m
8. Mbao 3m
9. Ufundi 3m assume umechukua mafundi cheapest.
Haya umekopa kwa miaka 6 then unakuja kuhamia pagala bado linapumua..
Vs.
Kodi ya 300000× 12×6 = 19.8 hapo umetoa kwa mafungu.
 
KUKOPA UJENGE NYUMBA NI UJUHA..
Nyumba ni liability haikuinguzii faida hata chembe na zaidi utaongeza matumizi... Kopa ufanye biashara itakayokuingizia hela ya kujenga... La sivyo bana matumizi ujenge kwa kipato chako... Anza kwa kuhama hapo katafute kodi nafuu..

Kujenga nyumba ya vyumba vitatu ili uhamie bila ya kumalizia utahitaji kama 15-20m... Je ukikopa hapo utalipa kwa muda gani?
Hebu fanya huu mchanganuo..
1. Kiwanja 4m
2. Msingi 5m
3. Kupandisha mpaka lenta 5m
4. Zege 500,000/=.
5. Grill 3m
6. Milango miwili ya kukusitiri 400,000/=.
7. Bati 4m
8. Mbao 3m
9. Ufundi 3m assume umechukua mafundi cheapest.
Haya umekopa kwa miaka 6 then unakuja kuhamia pagala bado linapumua..
Vs.
Kodi ya 300000× 12×6 = 19.8 hapo umetoa kwa mafungu.
naam huyu jambo la msingi ni kuanzisha biashara tuuu..

akumbuke kwamba biashara ndyo kimbilio la kila mtu kwa sababu hakuna ambae anazeekea kazini (serikalini)kila mtu atafanya kazi ila mwsho wa siku atastaafu tu sasa anza biashara mapemaaaaaaaaaaaa
 
KUKOPA UJENGE NYUMBA NI UJUHA..
Nyumba ni liability haikuinguzii faida hata chembe na zaidi utaongeza matumizi... Kopa ufanye biashara itakayokuingizia hela ya kujenga... La sivyo bana matumizi ujenge kwa kipato chako... Anza kwa kuhama hapo katafute kodi nafuu..

Kujenga nyumba ya vyumba vitatu ili uhamie bila ya kumalizia utahitaji kama 15-20m... Je ukikopa hapo utalipa kwa muda gani?
Hebu fanya huu mchanganuo..
1. Kiwanja 4m
2. Msingi 5m
3. Kupandisha mpaka lenta 5m
4. Zege 500,000/=.
5. Grill 3m
6. Milango miwili ya kukusitiri 400,000/=.
7. Bati 4m
8. Mbao 3m
9. Ufundi 3m assume umechukua mafundi cheapest.
Haya umekopa kwa miaka 6 then unakuja kuhamia pagala bado linapumua..
Vs.
Kodi ya 300000× 12×6 = 19.8 hapo umetoa kwa mafungu.
Nimeipenda hesabu yako boss!
 
Naogopa kushauri maana haya mambo hutegemea mtu na mtu, kama hauna Karama ya kufanya biashara basi kopa ukajenge nyumba alafu ndo uanze biashara lakini kama uko vizuri kwa biashara basi kopa ufanye biashara alafu ndo uanze kujenga. Ila nyumba yako binafsi ni muhimu sana kuliko hata biashara yako binafsi.
 
Naogopa kushauri maana haya mambo hutegemea mtu na mtu, kama hauna Karama ya kufanya biashara basi kopa ukajenge nyumba alafu ndo uanze biashara lakini kama uko vizuri kwa biashara basi kopa ufanye biashara alafu ndo uanze kujenga. Ila nyumba yako binafsi ni muhimu sana kuliko hata biashara yako binafsi.
umuhimu unakuja wakati pale utakapokuwa na uwezo wa kutoa pesa yako ukajenga,sio unaenda kukopa ujenge wakati kuna mambo kibao unajinyima kutokana na mkopo ulokopa.
.njia sahihi kuongeza kipato kwanza then mambo yakiwa mazuri utashangaa wewe biashara unapata pesa ya kula na mshahara unajengea hapo unatoboa kimtindo
 
.....Wenye nyumba wanazingua sana,mimi sikuwa na jinsi nilifumba macho nikaenda crdb nikakopa
lkn mimi nilikuwa na kiwanja tayari,nikachukua rikizo nikakomaa saiti na mafundi jino kwa jino,nikihakikisha hakuna senti inatumika kizembe hatimaye nikafanikisha,finishing zingine nikimalizia nikiwa nishahamia..
Anyway...kupanga ni kuchagua.
 
Kuna watu mna hesabu za kwenye makaratasi, nyinyi ndio mnaotisha watu eti kujenga haiwezekani.

Kwa Dsm ukipata kiwanja cha 3.5M unaweza kuanza na vyumba vichache mfano viwili halafu unahamia kwako.
Hapo unakuwa umeokoa pesa ya kodi, ambayo utaitumia kujenga vyumba vingine taratibu hadi nyumba inakamilika.

Watu wanawaza nyumba ikamilike kwa kila kitu ndipo ahamie. Ukiwaza hivi utaendelea kuwanufaisha wenzio kwa kupanga kwao maisha yako yote.

Kuna vifaa unaweza kupata vilivyotumika kidogo kwa bei rahisi, si lazima upate vipya mfano madirisha, milango, bati na nondo.
Dar ugumu upo kwenye kiwanja tu.
 
Asalam wakuu.
Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya.
Nilikuwa nikitafakari hapa mchana mzima wa leo katika kusherehekea Muungano na gharama za kuishi hasa has kwenye jiji hili namba 1 la wachakarikaji ila wanapelekeshwa na zero brain.
Anyway ni binafsi naishi kwenye nyumba ya kupanga nalipa 300k kwa mwezi.. mpaka sasa nimeshaishi miaka 2.5 takribani miezi 30 so kwa ufupi nimelipa pango la 9m (300,000*30). Ukiiangalia hii hela inaaweza nunua kiwanja na ikajenga msingi na baadhi ya matofali.
NB; Inategemea na eneo mf. Mbezi msakuzi (nimeenda leo kucheck kiwanja) kiwanja cha 20*20 kinauzwa 3.5 to 4.5 m. msingi unaweza kula 4m (nyumba standard).
Hii ina mana kuwa nikikaa miezi 30 mingine ntakuwa nimemjengea jamaa nyumba nzuri.

Sasa nimeamua naenda benki nakopa hela hata let say kwa miaka 6 najenga nyumba nahamia then na assume as if namlipa mwenye nyumba. after 6 years nakuwa namiliki geto langu kuliko hii system ya kusubiri hela za mboga zikupitie.

Wakuu wenye mlengo huu wa kushuto tupeane mawazo katika hili au namna nzuri ya kuondokana na hawa jamaa wanajiita landrords.

Na wenzetu mlio katka banking industry mnaweza shauri hapo kwa 300k naweza pata mkopo kiasi gani
Nawasilisha.
Una familia unaishi nayo?
 
Hii ni fursa ya wenye real estate companies....kama mtu anaweza lipa 300,000 kwa mwezi ...mnajenga nyumba mnakopesha kwa kulipa kila mwezi baada ya miaka kadhaa nyumba inakuwa ya aliyekopa.
 
Back
Top Bottom