Recent content by Anami

  1. Anami

    Nina jinsia mbili. Je, nioe au niolewe?

    Msitumie nguvu zenu bure kumjibu huyu jamaa ni muongo anawapima akili tu. Angekuwa kweli ana tatizo hilo angekuwa serious hata kwa maelezo yake tungemjua kwamba huyu ni kweli anahitaji ushauri, badala yake katumia maneno ya mzaha kweli kujieleza...huyu mkongwe hapa JF kabadilisha ID karudi upya.
  2. Anami

    Skinny girls ni kila kitu!

    Thank u bro.
  3. Anami

    Skinny girls ni kila kitu!

    I am bt somebody's girlfriend
  4. Anami

    Skinny girls ni kila kitu!

    One man's FOOD other man's poison.
  5. Anami

    Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

    In Arusha Life is much easier and there are also many opportunities to succeed in life...Thanks
  6. Anami

    Majina ya Vituo vya Mabasi Arusha yana mvuto wa kipekee tofauti na Mikoa mingine

    Ngaramtoni Kimandolu Ngulelo Unga lelooo Tengeru Usa river Kwa fundi Kwa pole Philips Ilboru Mount meru Sanawari Kwa mollel Florida Kwa mrefu Kambi ya chupa Shangarai Duluti Atomic ..............alots of.
  7. Anami

    Kwa wapenzi wa tamthilia za kihindi za Startimes

    Naombeni kujua kuna yeyote kati yenu humu JF ambaye ni mpenzi wa series za kihindi za star plus??? Na kama upo unapendelea series ipi?
  8. Anami

    Wanawake mnawachukuliaje wanaume waliowatoa bikira?

    Stupid!!! Sio wanaume wote!!!! Wenye tabia hizo ni wanaume wambea wenye tabia za kishoga.Na huyo mwanaume uliyemwambia ndio kaenda kumwambia huyo mschana. Mwanaume halisi huwa anaweka siri na anakuwa mwaminifu kwa mschana aliyemtoa bikra
  9. Anami

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Please naomba kuuliza samsung tv inch 55 ni sh. Ngapi?
  10. Anami

    Mama Irene Uwoya aangua kilio kikali kwa kufiwa na 'mkwe wake kipenzi' Ndikumana

    RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE MAREHEMU NDIKUMANA NA MAREHEMU WOTE WAPATE REHEMA KWAKO NA WAPUMZIKE KWA AMANI...AMEN
  11. Anami

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kuuliza mradi wa kupeleka umeme kisongo wilaya ya monduli utaanza lini? Maana sasa pamekuwa mji na watu wengi wamejenga na kuhamia hapo nikiwa mmoja wapo. Hivyo naombeni kujua hilo. Asanteni na ninawatakia kazi njema
Back
Top Bottom