ha ha ha ha pale unapoachwa utaongea yoteee mpaka ya uvunguni na wew mnene mbna selfish hausamei mchoyo mnafiki na haujui kudekeza kwendaaaaa mpaka yakutoke moyon najua sio leoo hayo maji uneshayavulia nguoyaogeee NILIPOPROVE KUA ROHO MBAYA HAINA UMBILE NIPALE MTU UNAISHI NA WADOGOZAKO THEN...
hatuolew kwaajil ya jamii ituone wea hatuolew kwasabab ya strec hatolew kwasababu fulan kaoa au kaolewa. upo? kama we umeoa/kuolewa uonekane hongera tutakaa mpaka 50 ifike usitupangie maisha kama yako yamekushinda usitake wote tushindweeee ALAFU MANENOYAKO SI SHERIA matusi yanaruhuswa. ni bora...
kwan we vp mbna unaakil fupi acha kila mtu afanye yake heee we mzaziwake au acha watu waenjoy maisha kam we unatamn kushinda mtandaon tafta mb za kutosha utashinfa tuu
pale unapoachwa na ex aliyekua anaroho tajiri na ukajua mpo mtandao mmja wa kijamiii unaandika ili aumie kwasababu wew umemove onn lakin bado unaumia sasa unaona mwenzako anaendelea unajitahid aumie kwasababu kila mda yupo akilin eeeh Mungu mpunguzie adhabu kijana uyu matusi ni bora kwa afya...
nan kasema hamna kitu kama ocho kuna malaya wanajiuza na maisha yao mazur na wanaaman na furaha hayo magonjwa yapo tuuu usipokufa na ukimwi utakufa kwa kansa na kansa ikikuepuka utapata ajali usitutishe matusi yanaruhusiwa kupunguza hasira achaa tuhangaike kila mtu anahatima yakeee
na kwel mana kuna mahusiano mengne ni shida tupu mtu kujal hajui ela hatoi yupp yupo tu anajua kuandika msg masaa 24 ndo upendo kumbmsg moja tu ya imethibitishwa inamaana kubwa sana
ha ha ha maamuzi ufanye mwenyewe amani ukose mwenyewe mbona majangaaaaaaaz poleee be hapy pliizzzz ppunguza blah blah bas kua mzunguu ungekaa kimya ndo ingefurahisha na kuonesha umelet it goooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.