Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa za wanawake/wadada wanene

1.Wepesi wa kusamehe.
2.Wanapenda ku please.
3.Wanatulia kwa mwanaume mmoja.
4.Wakipenda wanapenda kweli.
5.Wepesi wa kuomba msamaha.
6.Sio wabishi.
7.Wanajua kudeka na kudekeza.
8.Watiifu.
9.Hawaringi sana.
10.Wanasahau haraka.

Kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke chagua mwanamke mnene.
Hapa nadhani ungeandika chubby ingependeza zaidi na kueleweka zaidi.
 
Basi na hizi ndio madhara ya kuwa nao:
1. Atawasamehe ma ex- wake wote, hivyo kamwe hautokuwa peke yako, bali utakuwa umeongeza idadi tu.
2. Atawaomba msamaha hata ma ex- wake, ili aendelee kujivinjari nao daima.
3. Huenda pia akikuacha basi hutamuona tena maishani mwako
4. Ole wako ampate aliyempenda zaidi yako, utajuta kumfahamu.
5. Rejea namba 2 hapo juu.
6. Hata wakibanwa kwenye korido wanakubali yaishe.
7. Hivyo sio wachapakazi, na akimpata mtu hutamng'atua kamwe.
8. Hata akiitwa baa usiku hagomi kwenda hata siku moja, na akiambiwa fanya hivi, anafanya shap.
9. Hivyo, hata machokora wanapata access.
10. Hata kupika, kuoga, kutandika kitanda, nk.... wanasahau kwa urahisi mno.
Hizi ni sifa za mwanamke mpole mpole yule mwenye uoga mbele ya me.
 
ha ha ha ha pale unapoachwa utaongea yoteee mpaka ya uvunguni na wew mnene mbna selfish hausamei mchoyo mnafiki na haujui kudekeza kwendaaaaa mpaka yakutoke moyon najua sio leoo hayo maji uneshayavulia nguoyaogeee NILIPOPROVE KUA ROHO MBAYA HAINA UMBILE NIPALE MTU UNAISHI NA WADOGOZAKO THEN UNAFUNGIA CHAKULA CHUMBAN UPIKE UKIJISKIA NA HUYU NI MNENE SASA CJUI HAPO CCJUI research yako KAMA INEKALIKA
 
1.Wepesi wa kusamehe.
2.Wanapenda ku please.
3.Wanatulia kwa mwanaume mmoja.
4.Wakipenda wanapenda kweli.
5.Wepesi wa kuomba msamaha.
6.Sio wabishi.
7.Wanajua kudeka na kudekeza.
8.Watiifu.
9.Hawaringi sana.
10.Wanasahau haraka.

Kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke chagua mwanamke mnene.
Asante kwakutusifia ila pakucheat uombe msamaha mmmmh pagumu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Wepesi wa kusamehe.
2.Wanapenda ku please.
3.Wanatulia kwa mwanaume mmoja.
4.Wakipenda wanapenda kweli.
5.Wepesi wa kuomba msamaha.
6.Sio wabishi.
7.Wanajua kudeka na kudekeza.
8.Watiifu.
9.Hawaringi sana.
10.Wanasahau haraka.

Kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke chagua mwanamke mnene.
Umesahau no 11
Wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom