Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
- Thread starter
- #21
Baeleze baelewe hahaha.Nyie walimu wa sekondary mna matatizo usione tu madam ushajua ni mwalimu mwenzako[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Baeleze baelewe hahaha.Nyie walimu wa sekondary mna matatizo usione tu madam ushajua ni mwalimu mwenzako[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] tulia basi niongee na madame wa kiswahili
brain is the beautiful part of the body.
Hahaha lipi sasa madame, BAM?Badilisha somo
Hahaha lipi sasa madame, BAM?
brain is the beautiful part of the body.
Hahaha basi utakuwa mwl wa GSHuko kwenye namba labda za kwenye evaluation/assesment
Umeanza kupotea sasaHahaha basi utakuwa mwl wa GS
brain is the beautiful part of the body.
Bios/chem!Umeanza kupotea sasa
Pole
Mi kwa "bed"hoi jmn , hapo 2 ndo maana namganda kama ruba,,, "mwanaume mashine bwn"like msaga sumu,, ,vi2ko sasa ananiuwa kabisa yaan,, , lakini xaxa ma2nzo zero, ubize ndo mahali pake,,, lakini nimeridhika mi kwake nyang'anyang'...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi tunaelekea hukoNimemwacha last week cjafaidi chochote zaidi ya endless ugomvi na uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahha nilitaka nikutag kwenye hiyo comment mweehLissa lee
Hongera sana kwa kupata "mwanaume machine", ila angalia sana. Ngono na pesa vimekuwa rushwa katika mahusiano, anakupa dyudyu ya uhakika wewe huangalii mengine/tabia zingine, ukiingia kwenye ndoa unaanza kulalamika.
BTW, jf tunaandika kiswahili fasaha. Mambo ya "xaxa, vi2ko" inabidi uachane navyo