Kardinal Pengo yuko sahihi kwa sababu kila mtu anayohaki ya kuamua analoliona linafaa, kupigia kura au kutopigia kura. Maamuzi ya maaskofu ni msimamo mmoja wapo laki uhuru wa kila mtu unabaki palepale hata kama mumeamua kutoipigia katiba iliyopendekezwa na mwingine akawa amekubaliana kwenye...
mimi naona serikali tatu ni suruhisho pekee kwa sababu Zanzibar tayari walishavunja muungano kwahiyo itakuwa ni kujindaganya kuendelea na mfumo wa sasa labda wazanzibari warudi wakasahihishe hilo kwanza. Vingenevyo nitatizo kubwa.
Muungano unaofaa sasa Tanzania ni wa serikali tatu. Sababu kubwa Zanzibar kwa kutengeneza Katiba yao inayopingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya sasa hakuna njia muafaka zaidi ya serikali tatu la sivyo Zanzibar warudi wabadili maudhuii yaliyomo kwenye katiba yao. Hata kama Bunge la katiba...
Mkumbuke kwamba raisi yuko kazini masaa 24! Hivyo ni sahihi kutumia ndege ya serikali na mali za serikali kwa sababu akiwa Kigoma bado atakuwa ni Raisi na kunakazi ambazo pamoja na kutokuwepo ofisini kwake bado analazimika kuzifanya. kwa hilo sioni kama kuna sababu ya kulipigia kelele.
Mimi sio mwanasheria lakini ninaona neno HAKI YA MPIGA KURA inahitaji tafsiri kwa sababu haki ya mpiga kura Arusha siyo sawa na haki ya mpiga kura Mwanza. Kila mmoja hapa anamaslahi yake. Kwahiyo kila mpiga kura ashughulike na maslahi ya eneo lake. Vinginevyo kuna walakini
Mimi sio mwanasheria lakini ninaona neno HAKI YA MPIGA KURA inahitaji tafsiri kwa sababu haki ya mpiga kura Arusha siyo sawa na haki ya mpiga kura Mwanza. Kila mmoja hapa anamaslahi yake. Kwahiyo kila mpiga kura ashughulike na maslahi ya eneo lake. Vinginevyo kuna walakini
Matatizo tuliyonayo makubwa ni kupata viongozi kwa kupitia njia za panya. Watanzania tunajukumu kubwa sana kupigana na rushwa ambayo inatunyima fursa ya kupata viongozi wanaofaa.
Hasara tunazozipata ni:
1. Kupata viongozi wasio faa.
2.Viongozi hao wanaopatikana kwa rushwa wanakuwa wametumia hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.