Exactly,,na tundu huvimba kwa7bu nnapokutana na kitu kama vumb huwa nareact fasta then pua inawasha sana so huwa naifikicha sana mpk yavimba kidogo sometimes na michubuko inatokea,,! Ila nashkuru sana kwa msaada wako ntafanyia kaz naamin mungu atansaidia, Ubarikiwe Sana
Naombeni mnisaidie wanajamvi,
Nina matatizo ya mafua yasiopona, nimeshaenda hospitali nyingi na nimekunywa dawa nyingi za mafua lakini haijasaidia, nkaambiwa kuwa nina allergy na vumbi pamoja na harufu kali kama za spray na perfume.
Nikanywa dawa za allergy kama centrizine n.k. Bila...
Habari Zenu Wapendwa...
Naomben Mnisaidie Kwa Anaefaham Hyo Kozi Hapo Juu Anifahamishe About Merits,demerits And Future Outlook (ntafanya Kaz Gan Nkimaliza Na Upatkanaji Wa Ajira) Yke Ikoje Pia Mxul Wake Uko Vp Hpo SUA Na Mambo Mengne Mnayofaham Kuhusu Hiyo Facult Kawa Vle Ushauri Kama Ni Nzur...
Habari Zenu Wapendwa...
Naomben Mnisaidie Kwa Anaefaham Hyo Coz Hapo Juu Anifahamishe About Merits,demerits And Future Outlook (ntafanya Kaz Gan Nkimaliza Na Upatkanaji Wa Ajira) Yke Ikoje Pia Mxul Wake Uko Vp Hpo SUA Na Mambo Mengne Mnayofaham Kuhusu Hiyo Facult Kawa Vle Ushauri Kama Ni Nzur...
Kama Unahitaj Kuendelea Kupata Mkopo Unatakiwa Ku-update Thru OLAS Kwa Kulipia Elf Kumi Kwa Mpesa Then Utajaza 4m 1 tu. kwa maelezo zaid ptia heslb.org
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.