Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Hi guys..
Naomba kufahamu utaratibu uliowekwa na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo, wana-update vip taarifa zao ili kuendelea kupata mkopo kwa mwaka ujao wa masomo? I remember last year kulikuwa na link kwenye olas ila mwaka huu siioni, wameihamisha au imekuwaje??
Msaada tafadhari..
Naomba kufahamu utaratibu uliowekwa na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo, wana-update vip taarifa zao ili kuendelea kupata mkopo kwa mwaka ujao wa masomo? I remember last year kulikuwa na link kwenye olas ila mwaka huu siioni, wameihamisha au imekuwaje??
Msaada tafadhari..