Jamani hakuna kitu km hicho. Kama lowasa anaenda ukawa sibishi kwa kuwa ukawa si chama. Lkn kwa upande wetu chadema Dr. Slaa anatosha na tutashinda kwa kishindo.
Kwa Act-wazalendo kimesajiliwa? Ukiangalia hicho chama kiko kwa ajili ya kupambana na ukawa tu na baada ya uchaguzi kinakufa.
Chama kilichosajiliwa ni act-Tanzania na ambayo ndio yenye logo, rangi na hata cheti cha usajili. Kwa hiyo mi sioni km ni msingi sana kujadili wapiga debe , wasaliti na...
Kuwa makini NA '' ALL WE TRAVEL''. Mimi ni mwanaume kwa situation km hiyo sihitaji ushauri ningemsaidia moja kwa moja. Ila kwa kuwa umetaka ushauri kwanza endelea kumpa mahitaji madogo wakati unafikiria kufungilia biashara itayokidhi mahitaji yake na wanae kwa siku za mbeleni.
Wakati umefika ni vigumu kuukimbia. Niliwahi kusema siku inachofanya ccm ni kutega bomu ipo siku ya kulipuka na kutakuwa hakuna wa kuokoa. It's about time now. Wamuombe mungu awape busara hata hizo pesa zilizobaki wasiendelee kuzimaliza na vikao visivyo na tija. Muda umewadia wasubiria kuvuna...
Hivi kwa nn mtu anapohoji kitu cha msingi kuhusu serikali mnakuwa na lugha za ajabu? Huyu toka kipindi cha Mkapa mlitaka kumfukuza mkashindwa leo ww unahoji uraia wake km nani? Wangapi wanaishi inchini na wananyanyasa watanzania na wanafanya kazi haramu tupu hamuulizi, au kwa kuwa wananufaisha...
Hapa tatizo sio last seen. Hapo tatizo ni mpenzi wako, nawe karibu kutomtafuta mpaka akutafute. Akikutumia sms jibu baada ya siku moja akikwambia uwende mwambie umebwana na mishe zako mpangie siku ya kwenda ww. Mwenyewe atasema poo.
Me mbona viongozi ACT siwajui kwa nn hawajiweki wazi? Nambona wanaongea vitu vilivyoongelewa tayari kwa nn wasije na hoja mpya km chama chao kilivyo kipya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.