Recent content by ams acks

  1. A

    Ramani, ujenzi issues special thread

    bro tutumie sample ya ramani uliyochora na 3d view yake kama ulivyosema, ili tuamini mjini hapa!!!
  2. A

    Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

    Habarini wakuu, mi ni technician wa civil, kwa yeyote aliye serious kufanyiwa tathimini au ushauri anaweza kuni pm!!
  3. A

    Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

    Ndiyo inaweza fanyiwa marekebisho ila yasiwe makubwa sana!
  4. A

    Rough estimations. Nyumba ya ramani hii

    sawa mkuu, unapokuja kwenye suala zima la ukadiriaji majengo kuna vitu vingi vya kuzingatia, mfano ukubwa wa nyumba kwa nje, kuta za ndani ( inategemea na jinsi ramani ilivyo) pamoja na uwazi( mfano saizi za milango na madirisha) kwa hiyo bila kuwa na maelezo kamili waweza pata makadirio...
  5. A

    DIT!!! chuo kinachopewa sifa nyingi lakini kina mambo yasiyoendana na hadhi yake

    kuna tetesi watabandika Leo(ubaoni) ila kuna tetesi nyingine kuwa hakuna mtu aliyemaliza mwaka huu aliyechaguliwa,
  6. A

    DIT!!! chuo kinachopewa sifa nyingi lakini kina mambo yasiyoendana na hadhi yake

    yani mpaka muda huu watu waliochaguliwa(wanaofahamika) ni wa computer na electrical ila course nyingine zinazosalia wameambiwa hawajachaguliwa( so waanze kuomba upya) na wengine hata matokeo yao hayapo
  7. A

    DIT!!! chuo kinachopewa sifa nyingi lakini kina mambo yasiyoendana na hadhi yake

    habari zenu wakuu!!! nashindwa kuelewa hiki chuo kina sifa zote kinachopewa? mpaka sasa wahitimu wake(diploma) wa kozi za civil, mining na laboratory technology hawaoni matokeo yao kwenye profile zao, hapo umeweka pembeni baadhi ya kozi ambazo hakuna mtu aliyechaguliwa mpaka muda huu...
  8. A

    Tufahamiane tuliopo miji mbalimbali duniani

    walishaweka lami tokea 2010
  9. A

    Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

    Duu mi ndo nimerudi mkoani full mapokezi asubuhi kabla ya chai tunapata kahawa kidogo jioni tunaenda kupata uji kidogo, najiuliza wakinitembelea nitarudishaje hizi fadhila maana mie ni MTU wa ratiba Kali nikiwa jijini
  10. A

    Nauza Laptop nzuri bei chee kabisa

    uliinunua mwaka gani? Au umeitumia muda gan?
  11. A

    Desktop aina ya dell inauzwa bei 280,000

    Weka picha tuione
  12. A

    Umeshawahi kufanya maamuzi magumu katika maisha?

    ndugu, kwa nini uliamua kubadili?
  13. A

    Kati ya Udaktari na Uinjinia taaluma ipi inalipa zaidi

    Kwanza nawasalimu wote na ninawatakia weekend njema. Back to the topic. Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu taaluma hizi mbili zenye mvuto sana, hasa kwa vipanga wengi ambao huziota kila siku. Lakini sasa sijapata uhakika ipi inaheshimika sana, inalipa zaidi na ipi inapendwa na...
Back
Top Bottom