Recent content by ampo

  1. ampo

    Tuliopo Geita tuuziane vitu vyetu hapa

    Me natafuta laptop mini yoyote ambayo iko poa.
  2. ampo

    Tuliopo Geita tuuziane vitu vyetu hapa

    Mkoa Wa Geita ndo unakuwa ni vigumu kukuta Uzi kwa watu Wa Geita. Huu Uzi ni kwa walio Geita tu!
  3. ampo

    INAUZWA Lenovo ideapad 100

    Upo mkoa gani chief
  4. ampo

    Computer4Sale Laptop toshiba inauzwa

    Uko mkoa gani ?
  5. ampo

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Pamoja na haya yote uliyoharaa , me nafurahia kuwa mwana - wa-uume
  6. ampo

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Nina silver nusu kilo soko likoje kwa gram ?
  7. ampo

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    wa ukweli23, Hii niliifanya Singida inalipa asikwambie mtu nitaifanya na hapa nilipo
  8. ampo

    Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

    Ndo tatizo la watu walioachika, muache masanja wa watu afurahie maisha.
  9. ampo

    Natafuta mtu wa kufanya naye kazi 0714669596 Niko Temeke

    Nina kijana amemaliza health lab anaweza kukutafuta mkuu?
  10. ampo

    Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

    Usipomtakia heli Mungu atafanya yake, punguza wivu kama jamaa ako hajawahi kujisifu kuwa na ww jichunguze vizuri labda unagubu au vinginevyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] . Karambe malimao
  11. ampo

    Ni kweli mchumba hasomeshwi?

    Nahisi unasomeshwa na basha wako si bure
  12. ampo

    Teknolojia ya Vat leaching

    Kwa wale ambao wanajua mambo ya uchenjuaji madini hasa dhahabu, wanajua jinsi gani ambavyo technologia ya vat leaching ambavyo ilivyoshika kasi. Basi Uzi huu upo kushirikishana changamoto tunazozipata kwenye maeneo yetu ya kazi. Karibuni sana wadau
Back
Top Bottom